Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,294
- 10,976
Amani ya bwana iwe nanyi.
Mimi kama mfanyabiashara wa kimachinga tangu awamu ya mzee Mkapa, naomba nichukue nafasi hii kuipongeza sana serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Magufuli.
Kabla ya awamu ya Rais Magufuli kuwa Machinga ilikuwa ni adhabu kubwa. Vipigo, kuwekwa ndani na kuchukuliwa vitu na mgambo ilikuwa ndio maisha ya wamachinga.!
Leo hii wamachinga tunafanya biashara kwa kujiachia katikati ya mji kama mitaa ya Kongo na makoroboi! Tuseme nini waja wako ee bwana??
Chini ya utawala wako maisha ya wamachinga yameboreka sana na biashara hii, sasa inatambulika rasmi.
Rais Magufuli pokea salamu zetu sisi wamachinga na tunakuahidi ushindi wa kishindo uchaguzi wa 2025.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kama mfanyabiashara wa kimachinga tangu awamu ya mzee Mkapa, naomba nichukue nafasi hii kuipongeza sana serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Magufuli.
Kabla ya awamu ya Rais Magufuli kuwa Machinga ilikuwa ni adhabu kubwa. Vipigo, kuwekwa ndani na kuchukuliwa vitu na mgambo ilikuwa ndio maisha ya wamachinga.!
Leo hii wamachinga tunafanya biashara kwa kujiachia katikati ya mji kama mitaa ya Kongo na makoroboi! Tuseme nini waja wako ee bwana??
Chini ya utawala wako maisha ya wamachinga yameboreka sana na biashara hii, sasa inatambulika rasmi.
Rais Magufuli pokea salamu zetu sisi wamachinga na tunakuahidi ushindi wa kishindo uchaguzi wa 2025.
Sent using Jamii Forums mobile app