Sisi ni soka burudani inaendelea

Sisi ni soka burudani inaendelea

Mti mkubwa

Member
Joined
Sep 2, 2017
Posts
27
Reaction score
21
Hawa jamaa wamekosa mvuto kabisa hususani baada ya ligi mbali mbali kufikia tamati ,vipindi vyao havina maandalizi.niombe waone uwezekano wa kurejesha fta channel huenda zikasaidia kuwabeba tofauti na hivyo mtakosa wateja
 
Waacheni hao watu wapumzike wakuu, naona mmewaandama sana.
Binafsi nitalipia Azam mwezi wa 8 kwa ajili ya TPL, tofauti na hapo sina kingine cha kuangalia kwenye Azam.
Karibuni ulimwengu wa mabingwa.
 
kufikia 2020, TV nyingi zisizo na wayangazaji wabunifu( wanaotegemea wenzao ili kuendesha vipindi vyao) e.g azam na WCB watafunga vituo vyao maana azam ili aendeshe vipindi vyake ni mpaka kuwepo na ligi za kandanda na pia WCB ili waendeshe vipindi vyao ni mpaka awe na interview na arts/ma- star

#kwa kweli mnaomiliki media kuweni wabunifu.
 
Back
Top Bottom