machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 1,890
- 3,958
Habari zenu wote?
Leo Kuna jambo nimekaa nikatafakari sana!
Tulivyokua wadogo tuliwaona wazazi wetu ni kama watumwa wakutulisha,kutuvisha,kutusomesha na mambo kama hayo!!
Kwa Sasa mi ni mwanaume(mzazi) wa around 35-40 nimekuja kugundua jambo!
Kuna muda mzazi unakata tamaa kabisa na watoto wako unawachukia mpaka kujuta kwanini uliwapata!!
Niko Arusha Kuna kijana mdogo around 17-21 anachoma watu visu mtaani na kuua kabisa
Leo hii katiwa mkononi mwa jeshi la polisi!
Mama yake mzazi anasema ashukuriwe Mungu na anaendelea na shughuli zake!!
Ni kweli hata Mimi nimesema ni Bora hata huyo kijana wake angeuwawa!!
Swali je sisi wazazi wangapi tunafurahia hukumu wanazopewa watoto wetu kwa maovu?
Leo Kuna jambo nimekaa nikatafakari sana!
Tulivyokua wadogo tuliwaona wazazi wetu ni kama watumwa wakutulisha,kutuvisha,kutusomesha na mambo kama hayo!!
Kwa Sasa mi ni mwanaume(mzazi) wa around 35-40 nimekuja kugundua jambo!
Kuna muda mzazi unakata tamaa kabisa na watoto wako unawachukia mpaka kujuta kwanini uliwapata!!
Niko Arusha Kuna kijana mdogo around 17-21 anachoma watu visu mtaani na kuua kabisa
Leo hii katiwa mkononi mwa jeshi la polisi!
Mama yake mzazi anasema ashukuriwe Mungu na anaendelea na shughuli zake!!
Ni kweli hata Mimi nimesema ni Bora hata huyo kijana wake angeuwawa!!
Swali je sisi wazazi wangapi tunafurahia hukumu wanazopewa watoto wetu kwa maovu?