Sirudi uwanjani kuangalia mechi za Simba

Dabil

JF-Expert Member
Sep 30, 2021
5,885
13,263
Hamasa kibao ila mpira wa hovyo, mimi kama shabiki wa Simba sirudi tena uwanjani kuangalia mechi ni aibu kubwa mno.

Tulishasema sana kocha hafai, tangu msimu uliopita hamna kiungo mkabaji mnafanya sajili za hovyo, mdomo mwingi ila uwanjani hovyo kabisa. Heri tumepigwa na Yanga ili viongozi waamke usingizini, tungefungwa hivo na timu nyingine isingekuwa alert.

Timu kubwa ila mfumo wanaocheza haueleweki, hamna rotation ya wachezaji wengine wamezeeka benchi.

Hizo goli 5 wagawane
1. Try Again
2. Magungu
3. Kajuna
4. Ahmed Ally
5. Mo
 
1699210670957.png


Wananchi leo wamewakomesha na 5G
 
Hamasa kibao ila mpira wa hovyo, mimi kama shabiki wa Simba sirudi tena uwanjani kuangalia mechi ni aibu kubwa mno.

Tulishasema sana kocha hafai, tangu msimu uliopita hamna kiungo mkabaji mnafanya sajili za hovyo, mdomo mwingi ila uwanjani hovyo kabisa. Heri tumepigwa na Yanga ili viongozi waamke usingizini, tungefungwa hivo na timu nyingine isingekuwa alert.

Timu kubwa ila mfumo wanaocheza haueleweki, hamna rotation ya wachezaji wengine wamezeeka benchi.

Hizo goli 5 wagawane
1.Try Again ,
2.Magungu ,
3. Kajuni ,
4.Ahmed Ally
5.Mo
Kwenye uamuzi huo, acha tu nikufariji kwa kale ka wimbo ka Bizman kanaitwa NIPE MDA. Jaribu kufananisha na tukio la leo
 
Kaa kimya, hata tufungwe ngapi ndio tumeipenda tayari Simba Sc,
huwezi kujua mpira kuzidi kocha
 
Hamasa kibao ila mpira wa hovyo, mimi kama shabiki wa Simba sirudi tena uwanjani kuangalia mechi ni aibu kubwa mno.

Tulishasema sana kocha hafai, tangu msimu uliopita hamna kiungo mkabaji mnafanya sajili za hovyo, mdomo mwingi ila uwanjani hovyo kabisa. Heri tumepigwa na Yanga ili viongozi waamke usingizini, tungefungwa hivo na timu nyingine isingekuwa alert.

Timu kubwa ila mfumo wanaocheza haueleweki, hamna rotation ya wachezaji wengine wamezeeka benchi.

Hizo goli 5 wagawane
1.Try Again ,
2.Magungu ,
3. Kajuni ,
4.Ahmed Ally
5.Mo
Simba shida uongozi wa Mangungo
 
Punguza jaziba mtani ni matokeo Tu.. ni sehemu ya mpira Man u msimu uliopita alipigwa Bao 7-0 Ila Maisha yakaendelea
 
Hamasa kibao ila mpira wa hovyo, mimi kama shabiki wa Simba sirudi tena uwanjani kuangalia mechi ni aibu kubwa mno.

Tulishasema sana kocha hafai, tangu msimu uliopita hamna kiungo mkabaji mnafanya sajili za hovyo, mdomo mwingi ila uwanjani hovyo kabisa. Heri tumepigwa na Yanga ili viongozi waamke usingizini, tungefungwa hivo na timu nyingine isingekuwa alert.

Timu kubwa ila mfumo wanaocheza haueleweki, hamna rotation ya wachezaji wengine wamezeeka benchi.

Hizo goli 5 wagawane
1.Try Again ,
2.Magungu ,
3. Kajuni ,
4.Ahmed Ally
5.Mo
Pole ila punguza hasira na jazba
 
Pira obujekitivu.

Tuliwaambia hii simba mbofu ikikutana na yanga itakula nyingi, ooh mbona Tanga tuliwachapa.
Sie tukasema haya mzee wangu Mshana Jr hupenda kusema "tuupe muda wakati"
 
Hamasa kibao ila mpira wa hovyo, mimi kama shabiki wa Simba sirudi tena uwanjani kuangalia mechi ni aibu kubwa mno.

Tulishasema sana kocha hafai, tangu msimu uliopita hamna kiungo mkabaji mnafanya sajili za hovyo, mdomo mwingi ila uwanjani hovyo kabisa. Heri tumepigwa na Yanga ili viongozi waamke usingizini, tungefungwa hivo na timu nyingine isingekuwa alert.

Timu kubwa ila mfumo wanaocheza haueleweki, hamna rotation ya wachezaji wengine wamezeeka benchi.

Hizo goli 5 wagawane
1.Try Again ,
2.Magungu ,
3. Kajuni ,
4.Ahmed Ally
5.Mo
Hakuna shabiki hapa, Man united na vipigo vyao kila siku ila OT kila mechi 75k watu, wewe ni shabiki matokeo
 
Back
Top Bottom