Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Hamasa kibao ila mpira wa hovyo, mimi kama shabiki wa Simba sirudi tena uwanjani kuangalia mechi ni aibu kubwa mno.
Tulishasema sana kocha hafai, tangu msimu uliopita hamna kiungo mkabaji mnafanya sajili za hovyo, mdomo mwingi ila uwanjani hovyo kabisa. Heri tumepigwa na Yanga ili viongozi waamke usingizini, tungefungwa hivo na timu nyingine isingekuwa alert.
Timu kubwa ila mfumo wanaocheza haueleweki, hamna rotation ya wachezaji wengine wamezeeka benchi.
Hizo goli 5 wagawane
1. Try Again
2. Magungu
3. Kajuna
4. Ahmed Ally
5. Mo
Tulishasema sana kocha hafai, tangu msimu uliopita hamna kiungo mkabaji mnafanya sajili za hovyo, mdomo mwingi ila uwanjani hovyo kabisa. Heri tumepigwa na Yanga ili viongozi waamke usingizini, tungefungwa hivo na timu nyingine isingekuwa alert.
Timu kubwa ila mfumo wanaocheza haueleweki, hamna rotation ya wachezaji wengine wamezeeka benchi.
Hizo goli 5 wagawane
1. Try Again
2. Magungu
3. Kajuna
4. Ahmed Ally
5. Mo