Sirocco: Nokia yaunda simu imara zaidi duniani ya Android

k
Kama wataweka mfumo wa app ku-switch line hapo itakuwa rahisi sana kuliko sasa, cha muhimu wasije wakaleta mfumo wa kufanya activation kwenye makampuni ya simu kila unapohitaji kufanya hivyo bali activation ifanyanyike mara moja ila ku-switch mtandao afanye mwenye simu kupitia app
 
Shilingi ngapi za kitanzania?
 
kwa simu za jana walizotoa Nokia my favourite ni Nokia 7 plus.
-Flagship camera
-perfomance kubwa karibia na flagship
-bei isiyoumiza kichwa.

wakiitangaza vizuri itauza sana.
hiyo simu ni shilingi ngapi?
 
Natamani kupata IPhone 6S+ 64GB Genuine naombeni mnisaidie wataalaam niandae Tshs ngapi? Kuipata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ