Lizzy labda nikuulize swali, hivi uliwahi kusoma kitabu kinachoitwa Men from the Mars and Women from Venus............? Sijui kama nimepatia hilo jina la kitabu, lakini naamini utakuwa umewahi kukisikia.
Hicho kitabu kina mengi ya kujifunza juu ya tofauti zetu, kati ya wanaume na wanawake................