Siri za Spika Ndugai za sababu ya kuwa mbabe bungeni zavuja, soma hii...

Terrible Teen

JF-Expert Member
May 1, 2017
920
2,635
Kwa wanaofuatilia mwenendo wa Bunge kwa sasa ikiwa ni pamoja na azimio feki la Bunge dhidi ya CAG watakuwa wamebaini namna NDUGAI ambaye ni Spika wa Bunge alivyojitoa kinagaubaga kuwa mbabe na mwenye kejeli kubwa hali inayoashiria kuwa kuna kitu anakitafuta au anataka kumridhisha mtu fulani.

Habari za uhakika ni kuwa NDUGAI anafanya yote haya kumplease Kiongozi Mkuu ili ampe kibali cha kusafiri Nje ya Nchi. Hivyo amefanikiwa kupata kibali ambapo WEEKEND hii atasafiri kwenda MUSCAT - OMAN, DUBAI na Kisha STOCKOLM SWEEDEN.

Msafara wa NDUGAI unahusisha, walinzi wake wawili, wasaidizi wawili na daktari wake kwa sababu kama mnavyojua huyu jamaa bado ni spana mkononi.

Gharama za ziara hii ni takribani shilingi milioni 234. Hivyo ilikuwa lazima ajikombe kwa Bwana Mkubwa ili kibali cha safari kitoke.

Sasa kwa kuwa amemwaga mboga kwa kuanza kutaja madeni ya watu, tunaleta hapa gharama za matumizi yake akiwa matibabu India ambapo gharama ni za kughushi, tutaleta madeni yake hapa na gharama za uongo za safari ambazo amekuwa akifanya. Ndio sababu anamuogopa CAG.
 
Ubabe,ukali,matumizi ya nguvu za kimamlaka badala ya nguvu ya hoja ni dalili za kiongozi dhaifu kwa maana hawezi simama kama yye nje ya kukamilishwa na mamlaka. Dawa ya viongozi kama hawa ni kuwashindisha mahakamani pale watoapo matamko binafsi yasiyofata katiba, Kenya walifaulu kwa njia hii kuwaadabisha viongozi wao.Kiongozi yeyeto ni mwajiliwa wa mlipa kodi kwann awe na nguvu na mamlaka kuliko walipa kodi
 
Ubabe,ukali,matumizi ya nguvu za kimamlaka badala ya nguvu ya hoja ni dalili za kiongozi dhaifu kwa maana hawezi simama kama yye nje ya kukamilishwa na mamlaka. Dawa ya viongozi kama hawa ni kuwashindisha mahakamani pale watoapo matamko binafsi yasiyofata katiba, Kenya walifaulu kwa njia hii kuwaadabisha viongozi wao.Kiongozi yeyeto ni mwajiliwa wa mlipa kodi kwann awe na nguvu na mamlaka kuliko walipa kodi
Kwa Tanzania ya Sasa mahakamani ni 50-50
 
Chadema mnaweweseka ,mmeshasahau kuwa mmegawa jimbo la Arumeru bure kwa ccm ,

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Kwa wanaofuatilia mwenendo wa Bunge kwa sasa ikiwa ni pamoja na azimio feki la Bunge dhidi ya CAG watakuwa wamebaini namna NDUGAI ambaye ni Spika wa Bunge alivyojitoa kinagaubaga kuwa mbabe na mwenye kejeli kubwa hali inayoashiria kuwa kuna kitu anakitafuta au anataka kumridhisha mtu fulani.

Habari za uhakika ni kuwa NDUGAI anafanya yote haya kumplease Kiongozi Mkuu ili ampe kibali cha kusafiri Nje ya Nchi. Hivyo amefanikiwa kupata kibali ambapo WEEKEND hii atasafiri kwenda MUSCAT - OMAN, DUBAI na Kisha STOCKOLM SWEEDEN.

Msafara wa NDUGAI unahusisha, walinzi wake wawili, wasaidizi wawili na daktari wake kwa sababu kama mnavyojua huyu jamaa bado ni spana mkononi.

Gharama za ziara hii ni takribani shilingi milioni 234. Hivyo ilikuwa lazima ajikombe kwa Bwana Mkubwa ili kibali cha safari kitoke.

Sasa kwa kuwa amemwaga mboga kwa kuanza kutaja madeni ya watu, tunaleta hapa gharama za matumizi yake akiwa matibabu India ambapo gharama ni za kughushi, tutaleta madeni yake hapa na gharama za uongo za safari ambazo amekuwa akifanya. Ndio sababu anamuogopa CAG.
Kama Spika wa bunge naamini anastahili kusafiri kila inapobidi.
Suala la kumridhisha Mkulu inaweza kuwa kweli kwani huwezi kuwa kinyume na anayekulipa na afterall wote ni chama kimoja.
Shida yangu kwa Ndugai "Kwa nini amtukane Lema kiasi kile?"
Hivi lema akimuuliza sababu ya Mirembe kujengwa Dodoma,Ndugai atakuwa na jibu?
Spika amekosa busara!!
 
Kama Spika wa bunge naamini anastahili kusafiri kila inapobidi.
Suala la kumridhisha Mkulu inaweza kuwa kweli kwani huwezi kuwa kinyume na anayekulipa na afterall wote ni chama kimoja.
Shida yangu kwa Ndugai "Kwa nini amtukane Lema kiasi kile?"
Hivi lema akimuuliza sababu ya Mirembe kujengwa Dodoma,Ndugai atakuwa na jibu?
Spika amekosa busara!!
Aiseeeeeee. Hilo swali lako la mwisho.. linaweza mfanya ndugai akarusha ngumi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wanaofuatilia mwenendo wa Bunge kwa sasa ikiwa ni pamoja na azimio feki la Bunge dhidi ya CAG watakuwa wamebaini namna NDUGAI ambaye ni Spika wa Bunge alivyojitoa kinagaubaga kuwa mbabe na mwenye kejeli kubwa hali inayoashiria kuwa kuna kitu anakitafuta au anataka kumridhisha mtu fulani.

Habari za uhakika ni kuwa NDUGAI anafanya yote haya kumplease Kiongozi Mkuu ili ampe kibali cha kusafiri Nje ya Nchi. Hivyo amefanikiwa kupata kibali ambapo WEEKEND hii atasafiri kwenda MUSCAT - OMAN, DUBAI na Kisha STOCKOLM SWEEDEN.

Msafara wa NDUGAI unahusisha, walinzi wake wawili, wasaidizi wawili na daktari wake kwa sababu kama mnavyojua huyu jamaa bado ni spana mkononi.

Gharama za ziara hii ni takribani shilingi milioni 234. Hivyo ilikuwa lazima ajikombe kwa Bwana Mkubwa ili kibali cha safari kitoke.

Sasa kwa kuwa amemwaga mboga kwa kuanza kutaja madeni ya watu, tunaleta hapa gharama za matumizi yake akiwa matibabu India ambapo gharama ni za kughushi, tutaleta madeni yake hapa na gharama za uongo za safari ambazo amekuwa akifanya. Ndio sababu anamuogopa CAG.
Weka ukweli hadharani! Wabunge wanasahau kwamba wao ni waajiriwa wa wapiga kura! 2020 bila Tume huru ya uchaguzi hali itakuwa hii hii hadi 2025.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wanaofuatilia mwenendo wa Bunge kwa sasa ikiwa ni pamoja na azimio feki la Bunge dhidi ya CAG watakuwa wamebaini namna NDUGAI ambaye ni Spika wa Bunge alivyojitoa kinagaubaga kuwa mbabe na mwenye kejeli kubwa hali inayoashiria kuwa kuna kitu anakitafuta au anataka kumridhisha mtu fulani.

Habari za uhakika ni kuwa NDUGAI anafanya yote haya kumplease Kiongozi Mkuu ili ampe kibali cha kusafiri Nje ya Nchi. Hivyo amefanikiwa kupata kibali ambapo WEEKEND hii atasafiri kwenda MUSCAT - OMAN, DUBAI na Kisha STOCKOLM SWEEDEN.

Msafara wa NDUGAI unahusisha, walinzi wake wawili, wasaidizi wawili na daktari wake kwa sababu kama mnavyojua huyu jamaa bado ni spana mkononi.

Gharama za ziara hii ni takribani shilingi milioni 234. Hivyo ilikuwa lazima ajikombe kwa Bwana Mkubwa ili kibali cha safari kitoke.

Sasa kwa kuwa amemwaga mboga kwa kuanza kutaja madeni ya watu, tunaleta hapa gharama za matumizi yake akiwa matibabu India ambapo gharama ni za kughushi, tutaleta madeni yake hapa na gharama za uongo za safari ambazo amekuwa akifanya. Ndio sababu anamuogopa CAG.
Naomba niwe last ku comment maana yajayo yanafulaisha. Tuli oyeeeeee
 
Asante sana mzalendo wa kweli kwa kutujuza hizo mbinu chafu za huyo mtu
Kwa wanaofuatilia mwenendo wa Bunge kwa sasa ikiwa ni pamoja na azimio feki la Bunge dhidi ya CAG watakuwa wamebaini namna NDUGAI ambaye ni Spika wa Bunge alivyojitoa kinagaubaga kuwa mbabe na mwenye kejeli kubwa hali inayoashiria kuwa kuna kitu anakitafuta au anataka kumridhisha mtu fulani.

Habari za uhakika ni kuwa NDUGAI anafanya yote haya kumplease Kiongozi Mkuu ili ampe kibali cha kusafiri Nje ya Nchi. Hivyo amefanikiwa kupata kibali ambapo WEEKEND hii atasafiri kwenda MUSCAT - OMAN, DUBAI na Kisha STOCKOLM SWEEDEN.

Msafara wa NDUGAI unahusisha, walinzi wake wawili, wasaidizi wawili na daktari wake kwa sababu kama mnavyojua huyu jamaa bado ni spana mkononi.

Gharama za ziara hii ni takribani shilingi milioni 234. Hivyo ilikuwa lazima ajikombe kwa Bwana Mkubwa ili kibali cha safari kitoke.

Sasa kwa kuwa amemwaga mboga kwa kuanza kutaja madeni ya watu, tunaleta hapa gharama za matumizi yake akiwa matibabu India ambapo gharama ni za kughushi, tutaleta madeni yake hapa na gharama za uongo za safari ambazo amekuwa akifanya. Ndio sababu anamuogopa CAG.

In God we trust
 
Kwa Tanzania ya Sasa mahakamani ni 50-50
Kwa hivo hivo unajua kila siku ukiwa unaburuzwa mahakamani kama kiongozi uleta discipline Fulani kujifikiria kabla ya kutoa maamuzi.Viongozi wengi uingia maamuzi binafsi na si ya kikatiba mfano kamatakamata ya wapinzani, Mazuio ya shughuli za kisiasa, kuweka ndani 24 nk haya mengi ni binafsi. Kiongozi yeyeto wa kiafrica ili twende sawa ni lzm atengenezewe mfumo wa kumdhibiti ili asilete madhara kwa anaowaongoza, waafrica tumeshindwa kujiongoza binafsi ili tufanyike BARAKA kwa tunaowaongoza.Viongozi Wengi awajui ile thamani ya ndani waliyopewa na walipa kodi kama dhamana ya kuwaongoza.Wengi uamini kuongoza ni kuwaumiza watu.
 
Back
Top Bottom