Siri ya ya Makinikia na Bombardier

Siri ya ya Makinikia na Bombardier

FORTYMFALME

Member
Joined
Aug 30, 2014
Posts
38
Reaction score
42
Nianze kwa kuuliza Hivi ile kampuni mpya ambayo Serikali na Barrick wanagawana faida 50/50 ofisi zao ziko wapi? Na yale makinikia bado yako bandarini? Vipi zile bilioni 600 za good faith tumeshapewa? Ile ndege yetu imewasili? Nitawapeni majibu baadae.
 
Nimesha agiza Noah lakini wanadai advance. Wenzangu mmeshapata Noah zenu?
 
Hahaha mtasubiri sana wao wanatekeleza ILANI yao, hayo hayajatajwa na hayamo kwenye ILANI, wale ma prof walisema kuna madini mengi sana nadhani vikosi maalumu vya jeshi vinalinda makinikia, ule ndio urithi tutakaoupata hawamu ya tano, yanasubiri simelta yetu ije isimikwe pembeni ya ikulu, ili kila kinachoyeyushwa kionekane. Na kutakuwa press conference kila kilo moja ya makinikia itakavyokuwa inatema tani za madini. Acheni haraka tunaye super watchman hapepesi kope na hatuibiwi tena, mnakumbuka nchi hii ilikuwa inaibiwa na kuchezewa sanaaa. Sasa tumekomesha wizi na michezo. Hapa kazi tu.
 
Back
Top Bottom