Mimi ni mwana harakati ambaye daima napenda kuwa mkweli, kwa namna fulani nilitokea kuwakubali baadhi ya wabunge wa chama tawala, kwa kuwataja wachache ni pamoja na Ester Bulaya, Januari Makamba, James Lembeli , Deo Filikunjombe, Mwigulu Nchemba na wengine wengi ambao wapo kwaajili ya kutetea masilahi ya taifa hili.
Kwa lililotokea leo bungeni kwa Mwigulu Nchemba na mh. Komba nimegundua kuwa ccm imekuwa legelege kwa kipindi kirefu kulingana na watu walioaminiwa kukiongoza chama hicho kuwa na upeo mdogo sana, Leo hii Nchemba anajieleza yeye kuwa ni mchumi wa daraja A, lakini mambo anayoongea hata mtu asiyefika fomu IV awezi akaongea mambo kama yale.
Nchemba unadiriki kuudanganya umma kuwa to invest in human capital is a part of project investment, kilichomo kwenye mpango wa miaka mitano wa taifa ni kwamba angalau kila mwaka itengwe asilimia 35 kwaajili ya investment projects, wewe unatuambia tunasomesha watu ni sehemu ya lengo la kufikia asilimia 35 ya uwekezaji kwenye miradi ya maendeleo.
Wewe kweli ni mchumi wa daraja A na mwandamizi wa BoT nchi hii na ccm mnaipeleka wapi ? mbona hatuwaelewi na nyinyi ndo mnaaminiwa kwenye chama kama vijana wasomi, huo kweli ndo uchumi wa daraja A ?
Ulegelege wa ccm umesababishwa na viongozi na wabunge wasioelewa kama Nchemba , naomba kuwasilisha
Kwa lililotokea leo bungeni kwa Mwigulu Nchemba na mh. Komba nimegundua kuwa ccm imekuwa legelege kwa kipindi kirefu kulingana na watu walioaminiwa kukiongoza chama hicho kuwa na upeo mdogo sana, Leo hii Nchemba anajieleza yeye kuwa ni mchumi wa daraja A, lakini mambo anayoongea hata mtu asiyefika fomu IV awezi akaongea mambo kama yale.
Nchemba unadiriki kuudanganya umma kuwa to invest in human capital is a part of project investment, kilichomo kwenye mpango wa miaka mitano wa taifa ni kwamba angalau kila mwaka itengwe asilimia 35 kwaajili ya investment projects, wewe unatuambia tunasomesha watu ni sehemu ya lengo la kufikia asilimia 35 ya uwekezaji kwenye miradi ya maendeleo.
Wewe kweli ni mchumi wa daraja A na mwandamizi wa BoT nchi hii na ccm mnaipeleka wapi ? mbona hatuwaelewi na nyinyi ndo mnaaminiwa kwenye chama kama vijana wasomi, huo kweli ndo uchumi wa daraja A ?
Ulegelege wa ccm umesababishwa na viongozi na wabunge wasioelewa kama Nchemba , naomba kuwasilisha