Nawasiwasi na huyu mkuu wa tanesko ktongoji cha tabata maana kila siku lazima wakate umeme..kutokana na uchunguzi wangu inaonesha kuna demu anaitwa mary kamtosa huyu jamaa wa tanesko ndo maana wanafanya makusudi,mapenzi yako mwenyewe unayaamishia kwa umma...looooooh!!!!!!