TANMO
Platinum Member
- Apr 12, 2008
- 12,091
- 12,713
soma comment yako mara mbili mbili kabla ya kupost!
Pumpkin head, sijaona makosa kwenye hiyo comment ya mdau...
soma comment yako mara mbili mbili kabla ya kupost!
Kuna uhusiano gani Mkono na huyu Amina?weka wazi mkuuHuyo makilagi anajikweza sana,hii ni kutokana na namna alivyobebwa kutoka kwenye kuwa mfagiaji wa ofisi ya wilaya ya ccm,kwenda mpaka UWT taifa, hadi kuwa mbunge na hatimae katibu wa wabunge wenzie.yote hii ni kazi ya Nimrod Mkono, hivyo mama yuko radhi kuitetea serikali hata kwa gharama ya damu za wa Tz.
chadema wapo bize na zitto, umeme unapanda kimyaaaa!!! itabidi tutafute mbadala wa chadema, wanakeraa sana siku hizi!!!
cc Dr.W.Slaa Tumaini Makene sixgates Mungi
Kuna uhusiano gani Mkono na huyu Amina?weka wazi mkuu
mkuu kichwa boga mwenyewe kwenye koment ile hujaona nilipoweka red?Pumpkin head, sijaona makosa kwenye hiyo comment ya mdau...
siyo tu kuwa wanatokea mkoa mmoja (Mara),bali wana mahusiano ya karibu saaaaaaana, ila siyo mahusiano ya kaka na dada.mkuu nafikiri unaweza pata picha.Kuna uhusiano gani Mkono na huyu Amina?weka wazi mkuu
chadema wapo bize na zitto, umeme unapanda kimyaaaa!!! Itabidi tutafute mbadala wa chadema, wanakeraa sana siku hizi!!!
Cc dr.w.slaa tumaini makene sixgates mungi
Hata mimi nashangaa !
kuku maji wewe, thanks God akili yangu inaweza kujisimamia yenyewe sio wewe bendera fuata upepo!!-------- siku zote huwa hjijui kuw ni mpumavu! So keep on being mpumbvu.