Siri ya namba saba (7)

Shida na raha

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
3,773
Reaction score
3,474
Jamani kuna siri gani kwenye namba: 7.!?, mbigu ziko 7,ardhi ziko 7, wiki inasiku 7 Tawaf"7 safa na marwa 7, jamarat mawe 7, Maajabu ya dunia 7, milango ya moto 7, shahada herufi 7, Takbira ya idd huwa ni 7, idadi ya bahari ni 7, mabara yapo 7, surat fatiha ina aya 7, viungo vikuu vinavyo sujudu viko 7, na nyota za majina ni 7, watoto wamtume walizaliwa 7, watoto waanze kusali wakiwa na umri wa miaka 7 ,niambie kwa nini halafu tuma kwa watu 7..
 
Saba ni namba ya ukamilifu kibiblia. Mungu aliumba mbingu na nchi kwa siku 6 na siku ya 7 alipumzika.Hali kadhalika Yesu aliwaagiza wanafunzi wake kusamehe saba mara sabini. Naaman aliambiwa azame mara 7 mto Yordani na ukoma wake ukaisha. Hivyo namba saba ni ukamilifu kwa Mungu.Nawatakia tafakari njema ya namba 7 Pamoja na sabato ya siku ya saba iliyotakaswa na Bwana Mungu na akatuagize tuikumbuke kuitakasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…