Siri ya mtungi aijuaye kata

Nondoh

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2016
Posts
298
Reaction score
478
Haya maisha haya kila mtu na siri yake. Usione mtu kavaa miwani kapendeza ukakurupuka na kuiga, shauri yako utaumia.

Nyuma ya pazia kuna mengi sana yamejificha. Usione mtu yupo ndani ya gari ukatamani ukachukulia poa, wengine wameidhalilisha miili yao, wengine utu wao na wengine wamehatarisha uzima wao na wengine wameenda mbali hadi kuua.

Nyuma ya pazia kuna mambo mengi sana yanaendelea. Kuna watu wapo radhi hata kurisk intangible assets zao ilimradi wawe some body kwenye jamii na unaweza zani ni mwanaume kumbe nyuma ya pazia ...

Hapo nilipo ishia tiririkene
 
Reactions: MC7
Makonda kiboko ya majeuri...plz Mboe itikia wito unajitafutia matatizo Gwajima na Manji wameenda wenyewe tu kilichowakuta umeona.
Sasa ww mwenyekiti wangu unamdharau RC yatakukuta ya Lema.
 
Makonda kiboko ya majeuri...plz Mboe itikia wito unajitafutia matatizo Gwajima na Manji wameenda wenyewe tu kilichowakuta umeona.
Sasa ww mwenyekiti wangu unamdharau RC yatakukuta ya Lema.
Amfunge tu! Kufanya hivyo ni kuruhusu maisha mengine yaendelee! Ila mwisho wa siku,ile bendera tutaongeza doa jekundu! Ili watanzania akili zitukae.
 
Amfunge tu! Kufanya hivyo ni kuruhusu maisha mengine yaendelee! Ila mwisho wa siku,ile bendera tutaongeza doa jekundu! Ili watanzania akili zitukae.
Kuongeza rangi nyekundu la uongezee kwenye shuka lako lililochakaa la kijani
 
Amfunge tu! Kufanya hivyo ni kuruhusu maisha mengine yaendelee! Ila mwisho wa siku,ile bendera tutaongeza doa jekundu! Ili watanzania akili zitukae.
Kwa sababu wenzake wote wameenda kwanini Mbowe hataki??? jamaa anauza sembe huyu nina mashaka nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…