Siri ya majina ya ukoo

Kuna siri gani katika majina ya asili ya kiafrika? wakati huo huo pia tujiulize maana & usiri katika majina ya kizungu.

Mshana Jr hebu tuanze na jina lako, tupe maana ya jina lako.
Mshana kidhungu ni Smithan kibantu ni mhunzi au mfua chuma
 
Mkuu Bujibuji, lakini huoni kwamba labda unawakwaza sana watu wenye Imani ya matambiko?

Kuna makabila kutambika ni jadi khasa, inasaidia sana mwendelezo wa ukoo kimila na kijadi.

Yaani ni lazima kukumbuka baba wa babu,babu, bibi wa bibi, bibi, shangazi, baba mkubwa n.k
 
Kwanini watumiaji wa Instagram wanatumia majina feki?
 
ntawafundisha mbinu mpya ya kutambika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…