Angalau simsupport Lowassa na kundi lake, lakini hawa jamaa walichokuwa wanaongea hakina msingi kabisa. Iweje leo
Lowassa amteue Sumaye kuwa waziri mkuu wakati waziri mkuu anatokana na ubunge, na ukiangalia Sumaye yeye
agombei ubunge. Hii inaonekana hawa viongozi hata kilichoandikiwa kwenye katiba hawakijui. Kingine kwa kurekebisha tu
Sumaye yupo NCCR Mageuzi na siyo Chadema.