Siri ya kupata uteuzi kwenye nafasi mbalimbali

Azizi Mussa

JF-Expert Member
May 9, 2012
9,185
7,491
Wadau labda niwape siri msiyoijua wale ambao mngependa kuteuliwa kwenye nafasi za uongozi lakini mnashangaa hamteuliwi. Ni hivi, ukitaka kuteuliwa fuata utaratibu huu.

1. Epuka kutumia ID za ajabu ajabu kama vile jingalao hakuna mtu atakayekuteua kuwa kiongozi wakati unatumia majina ya aibu.

2. Epuka kutumia avatar za ajabu, wewe unatumia liavatar kama hili akuteue nani?

images

3.Jitahidi kuanzisha mada, anzisha mada zenye mashiko na ukichangia fikiri kabla ya kuchangia.
4. Epuka kuwa kigeugeu.
5. Kuwa mtulivu na uwe na heshima kwa kila mtu.

Ukiyafanya haya, utateuliwa, kama si leo basi kesho.
 
Wadau labda niwape siri msiyoijua wale ambao mngependa kuteuliwa kwenye nafasi za uongozi lakini mnashangaa hamteuliwi. Ni hivi, ukitaka kuteuliwa fuata utaratibu huu.

1. Epuka kutumia ID za ajabu ajabu kama vile jingalao hakuna mtu atakayekuteua kuwa kiongozi wakati unatumia majina ya aibu.

2. Epuka kutumia avatar za ajabu, wewe unatumia liavatar kama hili akuteue nani?
images

3.Jitahidi kuanzisha mada anzisha mada zenye mashiko na ukichangia fikiri kabla ya kuchangia.
4. Epuka kuwa kigeugeu.
5. Kuwa mtulivu na uwe na heshima kwa kila mtu.

Ukiyafanya haya, utateuliwa, kama si leo basi kesho.
Wewe umeteuliwa wapi?
 
Kwa ufupi ni kuwa huwezi kuteuliwa Kama hutaki kuteuliwa na hujakaa mkao wa kuteuliwa, wewe kucha kuchwa unatukana tu watawala halafu unatarajia nini ... what do you expect ??
 
Hii ni open secret, teuzi bado zinaendelea? watujuze wadau wa hii address 1 Barack Obama Road, Magogoni
 
Niache kuteuliwa na baba wa mbinguni niteuliwe na wa hapa dunian mtuache kwanza na teuzi zenu
 
Kwa ufupi ni kuwa huwezi kuteuliwa Kama hutaki kuteuliwa na hujakaa mkao wa kuteuliwa, wewe kucha kuchwa unatukana tu watawala halafu unatarajia nini ... what do you expect ??
Huo ushauri unaenda kwa vijana wa ccm!Hakuna mpinzani anayeota uteuzi!
 
Kwa ufupi ni kuwa huwezi kuteuliwa Kama hutaki kuteuliwa na hujakaa mkao wa kuteuliwa, wewe kucha kuchwa unatukana tu watawala halafu unatarajia nini ... what do you expect ??

Inaonesha ni jinsi gani ulivyo punguwan

Badala ya kuita viongozi unawaita watawala mnahalalisha upunguwan
 
Mi nikajua una tip nyeti baada ya DC kukabidhiwa taasisi muhimu kuliko zote katika harakati za mapinduzi ya viwanda!
 
hv Tanzania kunaviongoz au kuna watawala? na il uweze teuliwa na ktk nch h lazma kwanza uwe mwanasiasa na mwanasiasa mwenyewe lzma uwe mlengo wa kulia na c vingnevyo!
 
Wadau labda niwape siri msiyoijua wale ambao mngependa kuteuliwa kwenye nafasi za uongozi lakini mnashangaa hamteuliwi. Ni hivi, ukitaka kuteuliwa fuata utaratibu huu.

1. Epuka kutumia ID za ajabu ajabu kama vile jingalao hakuna mtu atakayekuteua kuwa kiongozi wakati unatumia majina ya aibu.

2. Epuka kutumia avatar za ajabu, wewe unatumia liavatar kama hili akuteue nani?

images

3.Jitahidi kuanzisha mada, anzisha mada zenye mashiko na ukichangia fikiri kabla ya kuchangia.
4. Epuka kuwa kigeugeu.
5. Kuwa mtulivu na uwe na heshima kwa kila mtu.

Ukiyafanya haya, utateuliwa, kama si leo basi kesho.
Watu wanapumzika kwa hiari/kujiuzuru we unatushauri tu chaguliwe ili?amna anaetaka kuonekana kituko kama kina .....
 
Kwa nini umeona ID yangu ndio ya ajabu?
Unaijua historia yake?
Unaujua ujumbe uliomo ndani yake?
Unaijua inamuwakilisha nani?
Unaijua ni kwa nini ilianzishwa?

Je kipimo cha ''Uajabu" ni nini?
Je kwa imani yako hiyo unalichukuliaje jina la Rais wetu..."POMBE" ambaye aliteuliwa na CCM na akachaguliwa na wananchi?
 
Back
Top Bottom