Siri ya kudai serikali tatu yagundulika

Siri ya kudai serikali tatu yagundulika

Hata mwehu, kuna wakati anaweza kuvuta vazi kujihifadhi ikiwa ni ishara kwamba kajitambua yuko uchi. Kama hujaiona rasimu ni afadhali kukaa kimya kuliko arguments za kijinga unazoleta hapa.

Nimegundua kumbe kuna agenda ya siri kwa watu flani wa makundi flani walioko na nafasi flani kisiasa kwa vyama tofauti kutaka serikali tatu ili vyeo viwe vingi , vyeo kibao , serikali kibao ofisi kibao , semina kibao, safari kibao , posho kibao , sadakalawe amina, mwenye kupata apate mwenye kukosa akose! kumbe madaraka matamu jamani hata wale waliopita nao wanayataka! zikiwa serikali tatu , uongo! hata kama ulistaafu miaka hamsini iliyopita ila kwa CV yako uongo hukosi nawewe japo naibu waziri! ila serikali zote kama kawaida zitaendeshwa kwa kodi zetu na majasho yetu! mwenye masikio na asikie!Ni mtazamo tu wa mimi kijana nisietaka kusikia mawazo ya wazee na sina chama wala itikadi wala manifesto!
 
Nimegundua kumbe kuna agenda ya siri kwa watu flani wa makundi flani walioko na nafasi flani kisiasa kwa vyama tofauti kutaka serikali tatu ili vyeo viwe vingi , vyeo kibao , serikali kibao ofisi kibao , semina kibao, safari kibao , posho kibao , sadakalawe amina, mwenye kupata apate mwenye kukosa akose! kumbe madaraka matamu jamani hata wale waliopita nao wanayataka! zikiwa serikali tatu , uongo! hata kama ulistaafu miaka hamsini iliyopita ila kwa CV yako uongo hukosi nawewe japo naibu waziri! ila serikali zote kama kawaida zitaendeshwa kwa kodi zetu na majasho yetu! mwenye masikio na asikie!Ni mtazamo tu wa mimi kijana nisietaka kusikia mawazo ya wazee na sina chama wala itikadi wala manifesto!


JF imegeuka kokoro, inakokota kila kiumbe bila kujali kuwa ni GT au lah.
Hongera sana kwa uvumbuzi
 
Mleta uzi akili yako ni fupi mno..upeo wako wa kufikiri ni mdogo.
 
Nimegundua kumbe kuna agenda ya siri kwa watu flani wa makundi flani walioko na nafasi flani kisiasa kwa vyama tofauti kutaka serikali tatu ili vyeo viwe vingi , vyeo kibao , serikali kibao ofisi kibao , semina kibao, safari kibao , posho kibao , sadakalawe amina, mwenye kupata apate mwenye kukosa akose! kumbe madaraka matamu jamani hata wale waliopita nao wanayataka! zikiwa serikali tatu , uongo! hata kama ulistaafu miaka hamsini iliyopita ila kwa CV yako uongo hukosi nawewe japo naibu waziri! ila serikali zote kama kawaida zitaendeshwa kwa kodi zetu na majasho yetu! mwenye masikio na asikie!Ni mtazamo tu wa mimi kijana nisietaka kusikia mawazo ya wazee na sina chama wala itikadi wala manifesto!

wewe endelea kupiga box huko uliko. siasa za huku tuachie wenye nchi.
 
Hawa mabeki tatu wenye kuchukua ubin wa Mabosi zao huwa mnashida sana... Nani amekuambia kuwa Serikali tatu itakuwa na vyeo vingi. posho nyingi, na safari nyingi kama JK? ... Kwataarifa yako wenye akili wanataka kufuta vyeo vya Upendeleo vya CCM kama DC, RC, Wabunge wa Kuteuliwa na Mawaziri kibao wengine eti hawana wizara maalumu?... wewe unajua kuwa Sitta na watu wake wakikaa pale Dodoma kwa siku wanakunja kiasi gani? Unafahamu kuwa Msafara wa Pinda Pekee kwa siku unagharimu mishahara ya Waalimu wasiopungua 100 kwa mwaka? talking shit ... Hizo safari za JK mpaka sasa unafahamu kuwa zingetosha kujenga Hospitali za kisasa mikoa yote ya Tanzania?... Unajua kuwa Ufisadi unaofanywa kwenye sekta ya Nishati pekee inatosheleza kutoa huduma bora ya elimu na afya bure kwa Watanzania wote?... Ukoo wa Ngowi tunaufahamu una watu wengi wazalendo wenye akili, usiwavunjie heshima ...
Nimegundua kumbe kuna agenda ya siri kwa watu flani wa makundi flani walioko na nafasi flani kisiasa kwa vyama tofauti kutaka serikali tatu ili vyeo viwe vingi , vyeo kibao , serikali kibao ofisi kibao , semina kibao, safari kibao , posho kibao , sadakalawe amina, mwenye kupata apate mwenye kukosa akose! kumbe madaraka matamu jamani hata wale waliopita nao wanayataka! zikiwa serikali tatu , uongo! hata kama ulistaafu miaka hamsini iliyopita ila kwa CV yako uongo hukosi nawewe japo naibu waziri! ila serikali zote kama kawaida zitaendeshwa kwa kodi zetu na majasho yetu! mwenye masikio na asikie!Ni mtazamo tu wa mimi kijana nisietaka kusikia mawazo ya wazee na sina chama wala itikadi wala manifesto!
 
Mkulima hahitaji serikali tatu anachotaka ni serikali moja itakayompa uhuru wa kumiliki ardhi na kulima popote na kuuza popote

Mfanyabiashara anachotaka ni serikali moja yenye sheria za biashara na kodi za aina moja na taratibu za aina moja zinazomwezesha kufanya biashara popote bila bughudha ya aina yoyote

Mfanyakazi angependa kuwe na serikali moja ambapo yuko huru kufanya kazi popote na kwa viwango sawia vya mishahara na marupurupu


Mvuvi angependa serikali moja inayomwezesha kuvua popote na kujiuzia popote

Kiongozi wa dini angependa serikali moja yenye sheria moja ambayo inamwezesha yeye kutangaza dini yake na kuabudisha popote bila vikwazo

Mwanafunzi angependa awe huru kusoma popote na kupata mkopo wa kusoma popote

Lakini wanasiasa ndio wanataka serikali tatu ili wawe na nyimbo zao,majeshi yao,balozi zao,na vyeo vyao vya kisiasa na mafungu yao ya kugawana mapato yatokanayo na kukamua kodi wanyonge

Wakili wa kujitegemea angependa serikali moja ya kumwezesha kufanya kazi zake popote bila vikwazo ndani ya nchi moja.

Mfugaji wa kuhama hama angependa serikali moja inayoruhusu yeye kujichungia mifugo yake popote penye malisho mazuri ya mifugo yake

Hivi hiyo tume ya Warioba ina uhakika kuwa wananchi ndio wanataka serikali tatu?

Mimi baada ya kuwahoji wanachi wa kawaida wengi wameruka kuwa hilo la serikali tatu anayelijua vizuri ni huyo warioba na tume yake na hao wanasiasa wa UKAWA.

Wataka serikali tatu wanaotoa hadi mapovu ni wanasiasa ambao wanaishi kwa kutegemea siasa tu na wanaofaidika na ulaji kodi za wananchi ila wanajaribu kutumia wananchi kama ngao ya ubaradhuli wao.

Chadema na CUF wanajua kuwa si rahisi wao kushika nchi ikiwa moja kwa sababu CUF ina nguvu sana Zanzibar lakini bara haina nguvu hivyo nchi ikiwa moja wanajua hawatapata kura bara na CHADEMA wanaona kukiwa na serikali moja watakwama kwa kuwa wana nguvu sana Tanzania bara lakini Zanzibar hawana nguvu hivyo kukitokea uchaguzi kukiwa na serikali moja wanajua watakwama. Hivyo makundi haya mawili ya CUF na CHADEMA yanapigania serikali tatu kwa kuota ndoto za Alnacha kuwa zikipatikana basi CUF itashika Zanzibar CHADEMA tashika BARA na CCM itaambulia hako kaserikali ka muungano kasikokuwa na NGUVU wala raslimali bali kanategemea michango ya washirika.

Ukweli ndio huo wanasiasa ndio wanataka serikali tatu na warioba akaona muhimu kuwasikiliza hao na akayaita eti ndio maoni ya wananchi sio kweli.

Katika vitu vya aibu ambavyo tume imefanya ni kuchukua maoni ya wanasiasa kuhusu serikali tatu na kuyaita maoni ya wananchi .Ni aibu kwa tume. Najisikia vibaya tume kwa hili imekula posho ZA KODI ZA WANANCHI bure kabisa.
 
Nimegundua kumbe kuna
agenda ya siri kwa watu flani wa makundi flani walioko na nafasi flani
kisiasa kwa vyama tofauti kutaka serikali tatu ili vyeo viwe vingi ,
vyeo kibao , serikali kibao ofisi kibao , semina kibao, safari kibao ,
posho kibao , sadakalawe amina, mwenye kupata apate mwenye kukosa akose!
kumbe madaraka matamu jamani hata wale waliopita nao wanayataka! zikiwa
serikali tatu , uongo! hata kama ulistaafu miaka hamsini iliyopita ila
kwa CV yako uongo hukosi nawewe japo naibu waziri! ila serikali zote
kama kawaida zitaendeshwa kwa kodi zetu na majasho yetu! mwenye masikio
na asikie!Ni mtazamo tu wa mimi kijana nisietaka kusikia mawazo ya
wazee na sina chama wala itikadi wala manifesto!

Tshs 7,000/- @ Work!!
 
Nimegundua kumbe kuna agenda ya siri kwa watu flani wa makundi flani walioko na nafasi flani kisiasa kwa vyama tofauti kutaka serikali tatu ili vyeo viwe vingi , vyeo kibao , serikali kibao ofisi kibao , semina kibao, safari kibao , posho kibao , sadakalawe amina, mwenye kupata apate mwenye kukosa akose! kumbe madaraka matamu jamani hata wale waliopita nao wanayataka! zikiwa serikali tatu , uongo! hata kama ulistaafu miaka hamsini iliyopita ila kwa CV yako uongo hukosi nawewe japo naibu waziri! ila serikali zote kama kawaida zitaendeshwa kwa kodi zetu na majasho yetu! mwenye masikio na asikie!Ni mtazamo tu wa mimi kijana nisietaka kusikia mawazo ya wazee na sina chama wala itikadi wala manifesto!
Kumbe hata wamama Wa kichagga kuna mamburura? Nilikuwa nasikia simulizi kuwa wamama Wa kichagga wana akili kuliko wanaume wao kumbe sivyo! Hebu njooni wadau mshuhudie hili mama mburura akili limewekesha kwa jirani!
 
Acha uzuzu ww,serikali tatu ndo italeta haki na usawa katika muungano,kasome rasimu vizuri,ucpende kupotosha watu.
 
Mkulima hahitaji serikali tatu anachotaka ni serikali moja itakayompa uhuru wa kumiliki ardhi na kulima popote na kuuza popote

Mfanyabiashara anachotaka ni serikali moja yenye sheria za biashara na kodi za aina moja na taratibu za aina moja zinazomwezesha kufanya biashara popote bila bughudha ya aina yoyote

Mfanyakazi angependa kuwe na serikali moja ambapo yuko huru kufanya kazi popote na kwa viwango sawia vya mishahara na marupurupu


Mvuvi angependa serikali moja inayomwezesha kuvua popote na kujiuzia popote

Kiongozi wa dini angependa serikali moja yenye sheria moja ambayo inamwezesha yeye kutangaza dini yake na kuabudisha popote bila vikwazo

Mwanafunzi angependa awe huru kusoma popote na kupata mkopo wa kusoma popote

Lakini wanasiasa ndio wanataka serikali tatu ili wawe na nyimbo zao,majeshi yao,balozi zao,na vyeo vyao vya kisiasa na mafungu yao ya kugawana mapato yatokanayo na kukamua kodi wanyonge

Wakili wa kujitegemea angependa serikali moja ya kumwezesha kufanya kazi zake popote bila vikwazo ndani ya nchi moja.

Mfugaji wa kuhama hama angependa serikali moja inayoruhusu yeye kujichungia mifugo yake popote penye malisho mazuri ya mifugo yake

Hivi hiyo tume ya Warioba ina uhakika kuwa wananchi ndio wanataka serikali tatu?

Mimi baada ya kuwahoji wanachi wa kawaida wengi wameruka kuwa hilo la serikali tatu anayelijua vizuri ni huyo warioba na tume yake na hao wanasiasa wa UKAWA.

Wataka serikali tatu wanaotoa hadi mapovu ni wanasiasa ambao wanaishi kwa kutegemea siasa tu na wanaofaidika na ulaji kodi za wananchi ila wanajaribu kutumia wananchi kama ngao ya ubaradhuli wao.

Chadema na CUF wanajua kuwa si rahisi wao kushika nchi ikiwa moja kwa sababu CUF ina nguvu sana Zanzibar lakini bara haina nguvu hivyo nchi ikiwa moja wanajua hawatapata kura bara na CHADEMA wanaona kukiwa na serikali moja watakwama kwa kuwa wana nguvu sana Tanzania bara lakini Zanzibar hawana nguvu hivyo kukitokea uchaguzi kukiwa na serikali moja wanajua watakwama. Hivyo makundi haya mawili ya CUF na CHADEMA yanapigania serikali tatu kwa kuota ndoto za Alnacha kuwa zikipatikana basi CUF itashika Zanzibar CHADEMA tashika BARA na CCM itaambulia hako kaserikali ka muungano kasikokuwa na NGUVU wala raslimali bali kanategemea michango ya washirika.

Ukweli ndio huo wanasiasa ndio wanataka serikali tatu na warioba akaona muhimu kuwasikiliza hao na akayaita eti ndio maoni ya wananchi sio kweli.

Katika vitu vya aibu ambavyo tume imefanya ni kuchukua maoni ya wanasiasa kuhusu serikali tatu na kuyaita maoni ya wananchi .Ni aibu kwa tume. Najisikia vibaya tume kwa hili imekula posho ZA KODI ZA WANANCHI bure kabisa.
Umegusa umma wa Watanzania.
 
Umegundua siri au kitu gani kwa kwa watu flani wa makundi flani walioko na nafasi flani
kisiasa kwa vyama tofauti kutaka serikali tatu ?? Au hayo mambo kibao ? Inaonekana unafikiri kunaundwa serikali ya mkoa ya wilaya ya mtaa unaonaje mikoa ya Tanzania ikapunguzwa na kubaki mikoa miwili ili kupunguza hao wakuu wa mikoa wilaya mitaa na hayo mambo kibao ?
 
East Africa Eagle hicho ulichoandika ndo ukweli na uhalisia wa mambo...

Wanaotaka serikali 3 vilevile na wenye serikali mbili zo wanatafuta kick kwa kuwasingzia wananch tu lakn hakuna mwananchi mwenye shida na idadi ya serikali.

Serikali moja ndo kila bitu ila wanasiasa wameamua kuupotosha umma kwa maslahi yao.
 
Nimegundua kumbe kuna agenda ya siri kwa watu flani wa makundi flani walioko na nafasi flani kisiasa kwa vyama tofauti kutaka serikali tatu ili vyeo viwe vingi , vyeo kibao , serikali kibao ofisi kibao , semina kibao, safari kibao , posho kibao , sadakalawe amina, mwenye kupata apate mwenye kukosa akose! kumbe madaraka matamu jamani hata wale waliopita nao wanayataka! zikiwa serikali tatu , uongo! hata kama ulistaafu miaka hamsini iliyopita ila kwa CV yako uongo hukosi nawewe japo naibu waziri! ila serikali zote kama kawaida zitaendeshwa kwa kodi zetu na majasho yetu! mwenye masikio na asikie!Ni mtazamo tu wa mimi kijana nisietaka kusikia mawazo ya wazee na sina chama wala itikadi wala manifesto!

huna akili wewe umetumwa na maccm upost ujinga huo.kawaambie sisi hatutaki mbili tunataka tatu
 
Hizi akili za kushikiwa kazi sana, mama fanya kazi kwa bidii ujikomboe kimaisha acha kufikiri u..p.upu huo kichwani mwako. Unajaza server za JF ebo!!!!!!
 
Ingekuwa watu wote wanataka s1 kusingekuwepo na Zanzibar na Tanzania. Kungekuwepo Tanzania tu. Kuna uwezekano ama ulihoji mamburula ama wewe mwenyewe unatumia makalio kufikiri.
 
Back
Top Bottom