NTIGAHELA
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 368
- 257
Mbowe usituone majinga tunajua umelambishwa asali ili uendelee kumtukana Magufuli na najaribu kusema ni moja kati ya masharti uliyopewa ili uendeshe mikutano ya ujinga. Binafsi Magufuli ni mkombozi mana toka Tanzania ipate uhuru, ndiyo nilijua kuwa sisi sio maskini bali umaskini tuliyo nayo unatengezwa na mijinamizi kama nyie.
Magu alithubutu kumpa Mtanzania furaha ambayo hakuwahi kuipata. Mlimsakama kwa vitu vidogo sana ukilinganisha kwa yanayo jiri sasa. Alitaka kuifanya Chato uwe mkoa mlisema ni mbinafsi leo hii mali na wanyama pori wanasombwa kiholela lakini mmetulia tuli.
Mkasema nchi itapigwa mnada kwa mda mfupi kakopa sana, nashangaa leo hii mnajifanya hamuoni huku maisha yanazidi kua magumu.
Umeme, maji, shule ya watoto, kiufupi hali nitete. Nashangaa unasimama mbele ya wananchi ambao wamejikatia tamaa ya maisha kuliko kuongelea mambo ya msingi ya kuwajenga unaenda kufufua mifupa!
Tunajua myasemayo si kweli bali ni visasi vya kunyimwa tonge. Nimalizie kusema kajipangeni upya mana mmeshuudia kilicho wakuta baada ya kuropoka. Msipo badili agenda haki ya mama mtajaniambia.
Magu alithubutu kumpa Mtanzania furaha ambayo hakuwahi kuipata. Mlimsakama kwa vitu vidogo sana ukilinganisha kwa yanayo jiri sasa. Alitaka kuifanya Chato uwe mkoa mlisema ni mbinafsi leo hii mali na wanyama pori wanasombwa kiholela lakini mmetulia tuli.
Mkasema nchi itapigwa mnada kwa mda mfupi kakopa sana, nashangaa leo hii mnajifanya hamuoni huku maisha yanazidi kua magumu.
Umeme, maji, shule ya watoto, kiufupi hali nitete. Nashangaa unasimama mbele ya wananchi ambao wamejikatia tamaa ya maisha kuliko kuongelea mambo ya msingi ya kuwajenga unaenda kufufua mifupa!
Tunajua myasemayo si kweli bali ni visasi vya kunyimwa tonge. Nimalizie kusema kajipangeni upya mana mmeshuudia kilicho wakuta baada ya kuropoka. Msipo badili agenda haki ya mama mtajaniambia.