Siri ya hotuba ya Mbowe

Siri ya hotuba ya Mbowe

Kwenye kuua ua magufuri sitakaa nimsamehe. Shweitan mkubwa. Ovyo kabsa.
Ubora wa Samia unatokana na ubovu wa magufuri!
Mtu anayechukulia uhai wa mtu mwingine kirahis rahis kisa kuna mambo ya kidunia tu jamaa lilifanya namchukulia kama nguruwe tu. Akili za kunya na kula hapo hapo.
Tuthamini uhai maana ni non replaceable!
Eti marehem hasemwi vibaya wakati historia huwa haijifichi!
.....injustice for one is injustice for all...
Inaonyesha una hasira?
 
Maridhiano: Samia karidhia kuruhusu mikutano ya kisiasa na kuahidi katiba mpya, je wengine wameridhia nini kwa upande wao?
Ni swali zuri ambalo hupati jibu.

Ngoja mimi nijaribu kukupa jibu, kutokana na ninavyomsoma Mbowe.
1. Kutoa shukrani na sifa kwa Samia
2. Kuwanyamazisha viongozi walioko Chadema wasihoji yaliyoridhiwa na mengine yaliyopiganiwa na chama lakini hayazungumziwi tena kwenye maridhiano.
 
Back
Top Bottom