Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,181
- 48,695
Hi!
Hakuna kitu kinachopendwa kama fedha. Yaani hata Mungu hajawahi kupendwa kama inavyopendwa fedha, ingawa watu wengi wanaigiza kumpenda Mungu kuliko fedha ila ukweli utabaki palepale kuwa fedha inapendwa kuliko vitu vyote.
Kuna watu ni wapagani wanaabudu vitu vinavyoonekana kama miti, mawe, milima n.k, kuna watu ni atheists (wasioamini katika uwepo wa supernatural power/Mungu.
Kuna watu wanaoamini uwepo wa Mungu na nguvu zake.
Makundi hayo yote yanaamini katika nguvu ya pesa.
Ok ngoja niwamegee siri moja tu ya fedha kati ya nyingi .
******* Fedha ina masikio, macho na mdomo******.
Hivyo basi fedha inasikia, inaongea na inaona.
Anza kuisemesha utaona matokeo yake.
Hakuna kitu kinachopendwa kama fedha. Yaani hata Mungu hajawahi kupendwa kama inavyopendwa fedha, ingawa watu wengi wanaigiza kumpenda Mungu kuliko fedha ila ukweli utabaki palepale kuwa fedha inapendwa kuliko vitu vyote.
Kuna watu ni wapagani wanaabudu vitu vinavyoonekana kama miti, mawe, milima n.k, kuna watu ni atheists (wasioamini katika uwepo wa supernatural power/Mungu.
Kuna watu wanaoamini uwepo wa Mungu na nguvu zake.
Makundi hayo yote yanaamini katika nguvu ya pesa.
Ok ngoja niwamegee siri moja tu ya fedha kati ya nyingi .
******* Fedha ina masikio, macho na mdomo******.
Hivyo basi fedha inasikia, inaongea na inaona.
Anza kuisemesha utaona matokeo yake.


