Siri ya Chumba cha Maiti

Siri ya Chumba cha Maiti

Ukila nyama mifupa hua unatafuna na kumeza au unatema?? Kwenye hizo shughuli?? Kama jibu ni hapana basi bado hujakwepa kitu.

Kama unafanya kazi sehemu na unaweza kurudi nyumbani kula ni bora uwe unarudi au mkeo anakuletea. Hili swala wengi wanalipuuza
Unaweza kunipa elimu kidogo mkuu kuhusu kurudi kula nyumbani?
 
Pole sana baharia 1 kwa maswali haya mazito na yanayoleta hofu. Ni kweli, masuala yanayohusu jinsi miili ya wapendwa wetu inavyoshughulikiwa baada ya kufariki yanaweza kuibua hisia nyingi na maswali mengi, hasa pale kunapokuwa na usiri mkubwa. Ni kawaida kabisa kuwa na wasiwasi na kutaka kujua ukweli.

Kuhusu usiri wa vyumba vya maiti, mara nyingi hii inaweza kuwa ni kutokana na sababu za kiusalama, usafi, na pia kutoa nafasi kwa wataalamu kufanya kazi yao kwa umakini bila kuingiliwa. Ni eneo nyeti sana, na pia ni muhimu kulinda faragha na heshima ya marehemu na familia zao katika wakati huo mgumu.

Kuhusu suala la maji yanayotumika kuoshea na uchafu, ni kweli kuna taratibu maalum za utunzaji wa taka za hospitali na vyumba vya maiti, ambazo zinalenga kuhakikisha usalama wa afya ya umma na kuzuia magonjwa. Ingawa uvumi na hadithi za mtaani zinaweza kuenea haraka na kuleta hofu, ni muhimu sana kutafuta ukweli kutoka vyanzo rasmi na wataalamu wenye uzoefu katika fani hii. Wataalamu wengi hufanya kazi zao kwa weledi na heshima kubwa kwa marehemu.

Ni jambo la msingi kuuliza maswali haya ili tupate uelewa zaidi na kuondoa hofu zisizo za lazima. Tunaweza pia kujaribu kuzungumza na wataalamu wa afya, madaktari, au hata viongozi wa dini ambao mara nyingi wanashiriki katika taratibu hizi ili kupata picha kamili na sahihi zaidi. Kuelimishana ndio muhimu sana katika masuala kama haya.

Asante kwa kuanzisha mada hii muhimu, inatupa fursa ya kujifunza na kuelewa zaidi.
 
Huwa napinga sana hizi propaganda za kijinga na hii inadhihirisha kuwa sisi Watanzania wengi wetu elimu bado sana.

Moja, hakuna hopsital inayokataza usishuhudie mwili wa mpendwa wako ukioshwa ama kuuvesha nguo. Ila kuna vizuizi kutokana na watu kushikwa na hisia kali pindi wakimuona marehemu wao.

Pili, sehemu za kuoshea maiti huwa kuna bomba la kutolea uchafu moja kwa moja.

Tatu, hakuna ndugu anakatazwa kusimamia zoezi lolote kuhusu mwili wa mpendwa wao. Nina mdogo wangu mmoja alifariki miaka ya nyuma. Tuliitwa kwa ajili ya zoezi la usafishaji mwili, tukatoa mwili kwenye jokofu hadi pale unapopaswa kulazwa kwa ajili ya usafi. Hata ule uchafu tulioukuta kwenye lile beseni la kwenye jokofu tuliimwaga wenyewe palepale hospital. Zoezi la kusafisha mwili tulilikataa sababu alikuwa wa kike na kingine wenzangu walishikwa na hisia kali palepale so wote tukaiachia Hospitali.

Ninachoweza kusema ni hiki, ile harufu ya pale Mortuary ilikaa ndani mwangu kwa miezi isiyopungua 6. Ikifika wakati nikipita sehemu yenye harufu mbaya ikawa ni kama na mimi inanirudia harufu ya pale Mortuary. Zoezi la mule ndani tuwaachie wahusika.

Mwisho, kama madai yako yangekuwa sahihi kuwa uchafu huo ni pesa nzuri, basi hao watu wa Mortuary tungewaona na maisha mazuri sana, zamani watu walikuwa wanafanya tu hii kazi ila kwa sasa kazi ya Mortuary inafundishwa kabisa mavyuoni na hao ndio wanaoajiriwa. So tusifanye hitimisho ZITO katika mambo ambayo tunaweza tukatumia akili pia kuyaelewa.
Mkuu kuna misikiti Wana osha maiti, hichi ndicho anacho zungumza mleta mada. Wana uchukua mwili hospital (mortuary) na kuupeleka msikitini kwenda kuuosha.
Hapo ndipo kwenye Tatizo,

Na Kuna kipindi maeneo ya pwani walikuwa wakiosha miili ya waliokufa na kipindupindu kiholela ugonjwa ulienea Kwa kasi sana.
 
Mkuu kuna misikiti Wana osha maiti, hichi ndicho anacho zungumza mleta mada. Wana uchukua mwili hospital (mortuary) na kuupeleka msikitini kwenda kuuosha.
Hapo ndipo kwenye Tatizo,

Na Kuna kipindi maeneo ya pwani walikuwa wakiosha miili ya waliokufa na kipindupindu kiholela ugonjwa ulienea Kwa kasi sana.
Mkuu kwanini wanaruhusiwa kuchukua mwili hospitali na kwenda nao huko kuuosha? Hii sio sawa.
 
Huwa mkipewa nafasi kushughulikia miili ya wapendwa wenu waliofariki, mnakimbia mbio ndefu sana ila huku mnahoji

Ukweli ni kwamba wengi waoga kushiriki kushughulikia miili ya wapendwa wao waliofariki ndio maswali kama haya yanazuka
 
Mkuu kwanini wanaruhusiwa kuchukua mwili hospitali na kwenda nao huko kuuosha? Hii sio sawa.
Wana sema dini yao inawaruhusu kufanya hivyo.
Japo sababu kuu ni mbili
1. Kipato , wanaogopa maiti isilale mortuary, gharama zitaongozeka.

2. Dini yao inawaruhusu kuosha mwili
 
Mkuu kuna misikiti Wana osha maiti, hichi ndicho anacho zungumza mleta mada. Wana uchukua mwili hospital (mortuary) na kuupeleka msikitini kwenda kuuosha.
Hapo ndipo kwenye Tatizo,

Na Kuna kipindi maeneo ya pwani walikuwa wakiosha miili ya waliokufa na kipindupindu kiholela ugonjwa ulienea Kwa kasi sana.
Noma
 
Back
Top Bottom