Siri ya Adam, nyoka na mti wa katikati

Siri ya Adam, nyoka na mti wa katikati

Hahaha walokole mna tabu sana. Jumapili njema mtumishi.
Mimi sio MLOKOLE, hii nakuambia wazi na kweli kabisa... Wala si mtu wa dini hizi za hapa ulimwenguni chini ya jua..

Mimi ni mtu wa Mungu, Mmoja wa Pekee, aliye Mkuu na Mtakatifu sana... Nilitaka kujua kitu toka kwako.. NIMEKIFAHAMU.

Tujitahidi kumtafuta Mungu, tumtii... Yote yanaanza na toba.
 
Mimi sio MLOKOLE, hii nakuambia wazi na kweli kabisa... Wala si mtu wa dini hizi za hapa ulimwenguni chini ya jua..

Mimi ni mtu wa Mungu, Mmoja wa Pekee, aliye Mkuu na Mtakatifu sana... Nilitaka kujua kitu toka kwako.. NIMEKIFAHAMU.

Tujitahidi kumtafuta Mungu, tumtii... Yote yanaanza na toba.
ACHA uongo bila hizo dini za wayahudi Mungu ungemjulia wapi wewe jamaa
Kama sio kwenye hizo hizo dini
Ndio wale wale kuku sili ila mayai nakula haahaaaaha
ACHA fix bwana myahudi mweusi!
 
ACHA uongo bila hizo dini za wayahudi Mungu ungemjulia wapi wewe jamaa
Kama sio kwenye hizo hizo dini
Ndio wale wale kuku sili ila mayai nakula haahaaaaha
ACHA fix bwana myahudi mweusi!
Naona leo "Umenitamani" mwenyewe.. kumbuka kazi yangu ni kukugonga tu.

Tubu kwanza kisha nikuelekeze.
 
Back
Top Bottom