Siri ya Adam, nyoka na mti wa katikati

Siri ya Adam, nyoka na mti wa katikati

Priest_

Member
Joined
Jun 17, 2021
Posts
11
Reaction score
25
Nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa porini walioumbwa na Mwenyezi-Mungu. Basi, nyoka akamwambia huyo mwanamke, “Ati Mungu alisema msile matunda ya mti wowote bustanini?” 2Mwanamke akamjibu huyo nyoka, “Twaweza kula matunda ya mti wowote bustanini; 3lakini Mungu alisema, ‘Msile matunda ya mti ulio katikati ya bustani, wala msiuguse, msije mkafa Huu ni mstari ambayo watu wengi tumekuwa tunaufahamu na bila shaka kujiuliza kwamba ilikuwaje Nyoka kuwa na uwezo wa kuzungumza? Je, Adam alikula tunda au tunda lilikuwa na maana nyingine iliyo fichika ?

Nitajaribu kuchambua huu mstari na kujaribu kuangalia maana halisi au siri iliyo fichika. Hii itakuwa imegawanyia kwenye sehemu kuu tatu

  • Maana ya neno Nyoka na maana halisi ya nyoka
  • Neno tunda na maana halisi ya neno tunda
  • Mwisho, tutaweka maana halisi kwenye mstari mzima ili kuweza kuangalia kama kutakuwa na siri au ujumbe ulio fichika kwenye Mwanzo 3:1-3.


SEHEMU YA KWANZA

Serpent
(Swahili: Nyoka/Joka) anajulikana kwenye Biblia, Quran, na Hinduism. Alama ya nyoka inamaana kubwa sana kwenye haya madhehebu na tamaduni ya watu wakale. Pia neno “Nyoka” limekuwa au nilimetumika kuwa na maana moja kwenye haya madhehebu.


Neno nyoka kwenye biblia, limetumika kuwakilisha Shetani/Ibilisi. Kulingana na Ufunuo wa Yohana 12:7-8 inaeleza kwamba kulikuwa na vita mbinguni, Mikaeli na malaika wake waki pigana na hilo joka. Yohana 12:9 Inaeleza kwamba nyoka alikuwa naitwa Ibilisi/Shetani, adanganyaye watu wote ulimwenguni. Alitupwa chini ardhini, yeye pamoja na malaika wake”.
Pia Isaya 27:1 inaeleza kwamba Mungu atautwaa upanga na kuliadhibu joka danganyifu liishilo baharini.



the-beasts-from-the-sea-and-the-earth-revelation-13.jpeg



Pia historia kama hii imetajwa kwenye Quran takatifu. Kulingana na Quran Surah Al-A'raf 7:19 inaeleza Adam na mke wake walikuwa wanaishi kwenye bustani ambayo inapendeza kama paradiso. Kwenye hii bustani waliambiwa wanaweza kula matunda yeyote isipokuwa mti mmoja. Surah Al-A'raf 7:20–22 inaeleza Shetani/Ibilisi aliwashawishi Adam na mke wake kuonja ule mti.

Pia kwenye hadithi ya Fakhr al-Mulk Radwan. Imemtaja Ridwan(Riswan) kama mlinzi wa mbinguni kwenye Qisas Al-Anbiya, ambayo kazi yake ilikuwa kumzuia Ibilisi/Shetani kuingia kwenye bustani ya Adam. Lakini Riswan alidanganywa na “nyoka” amabye alikuwa amemficha Ibilisi kwenye mdomo.


776880573209174f86a32ea129ecf412.jpeg



Kwenye vitabu vya Hindu, kuna hadithi sambamba na Adam. Hindu wanaamini kwamba kulikuwa na mtu anaitwa Adama alikuwa anishi na mke wake kwenye msitu mkubwa ambao waliwekwa na Mungu. Kama ilivyo hapo juu, walikatazwa kula matunda ya mti. Lakini, Kali Purusha alijibadilisha kuwa Nyoka na kuwarubuni Adama na mkewe kula matunda ya mti walio katazwa.
Kwenye dini ya Hindu Kali Purusha ni mtoto wa jinni, Krodha(Hasira) na Himsha (wivu).


Untitled.png



Maana halisi ya Nyoka
Kama ambavyo tumeona hapo juu ni kwamba Serpent(Nyoka) inamaana ya Shetani/Ibilisi. Lakini nyakati za kale, kabla ya biblia, Quran au Hindi. Neno Serpent(Nyoka) lilikuwa na maana ya Hekima na Uzazi. Mathayo 10:16 Yesu alisema “kuweni na Hekima kama nyoka”.

Kuhusu Uzazi, anamaana ya kufanya upya na kuzaliwa mara ya pili. Hii imethibitishwa Yohana 3:3 Yesu alisema lazima kuzaliwa mara ya pili. Watu wa kale walikuwa wanatumia picha ya nyoka kung'ata mkia wake. Hii Ilikuwa inaonyesha uwezo wa nyoka kujifanya upya, ambao ni uwezo halisi wa nyoka kuondoa ngozi za zamani na kutengeneza ngozi mpya.


ouroboros.jpeg



Hitimisho sehemu ya kwanza:

Kama ilivyo nyoka kutambaa na kuishi kwenye mapango/mashimo aridhini, inamaana nyoka anawakilisha Kuzimu(underworld) Unaweza kuangalia Isaya 14:9-14

Kwahiyo tumeona kwamba Nyoka alitumika kuwakilisha Hekima au kuzaliwa kwa Hekima/Ufahamu. Pia hii Hekima haina kikomo, ndio maana inawakilishwa na alama ya nyoka kula/kung'ata mkia wake.

Itaendelea......
 
Ngoja nisubiri unakoelekeaa.
Lakini hapo kwenye " hekima na uzazi" ......!
Tayari nmeshaona umegota wapi which is not true.
 
Bado ujacreate 3rd iyoshawishi mtu kukaa chini na kufikir
 
Mimi nimependa muandiko wako tu, kusema kweli haya mambo yanachanyanya sana
 
Hizi hadithi za adam na hawa/eve sio za kweli kuanzia mwanzo mpaka mwisho,chanzo na madhumuni ya kumfanya Adam kuwa kiumbe wa kwanza ilikuwa ni kuanzisha historia mpya ambayo watu wa magharibi watajieleza chanzo chao kupitia vitabu vyetu vya dini,watu ambao hawana historia duniani, historia ya watu weupe imeanzia na Adam,kuanzia adam mpaka sasa ni kama miaka 6000,egypt kuna pyramids zimejengwa zaidi ya miaka 15000 ilopita historia yote hio imefutwa na kupandikiziwa historia mpya na chanzo chake ni Adam na sote tunaanzia hapo.

kuhusu matunda yaliyoliwa mpaka sote tukalaaniwa na kutupwa duniani na tukawa na makosa na vitu vyengine vya ajabu ajabu,
Hii ipo hivi , ni kama kitendawili au kwa kiingereza ni metaphoric, maana halisi ya matunda tuliyokatzwa kula ni elimu au knowledge , na hapa haimaani elimu ya skuli au elimu hizi za kutunga vitabuni. Ni knowledge ya uhalisi wa kila kitu, kuanzia sisi binadamu ni nani kiuhalisia mpaka dunia ni kitu gani na iko wapi kiuhalisia, elimu ya aina hii hairuhusiwi kujulikana na mwanadamu yeyote na elimu tunazosomeshwa haziendani na hali halisi, ni mambo ya kutunga ili kutuzuia tusile hilo tunda lilokatazwa kwenye dini na tuishi maisha yote hapa duniani bila ya kujitambua sisi ni nani kuhalisia au tuko wapi,
tunaishi kama mazombi hatujitambui tunapelekeshwa kirahisi na tunatawaliwa kirahisi tu, dunia nzima watu billion 7 wanatawaliwa na watu wasiozidi laki moja, hii yote ni kwa sababu tunaamini hizi hadithi zisizo za uhalisi. Ukweli haujawahi kusemwa duniani,
the truth is the forbidden fruit

nimeandika mbio mbio I hope it’ll make sense
 
Hizi hadithi za adam na hawa/eve sio za kweli kuanzia mwanzo mpaka mwisho,chanzo na madhumuni ya kumfanya Adam kuwa kiumbe wa kwanza ilikuwa ni kuanzisha historia mpya ambayo watu wa magharibi watajieleza chanzo chao kupitia vitabu vyetu vya dini,watu ambao hawana historia duniani, historia ya watu weupe imeanzia na Adam,kuanzia adam mpaka sasa ni kama miaka 6000,egypt kuna pyramids zimejengwa zaidi ya miaka 15000 ilopita historia yote hio imefutwa na kupandikiziwa historia mpya na chanzo chake ni Adam na sote tunaanzia hapo.

kuhusu matunda yaliyoliwa mpaka sote tukalaaniwa na kutunga duniani na tukawa na makosa na vitu vyengine vya ajabu ajabu,
Hii ipo hivi , ni kama kitendawili au kwa kiingereza ni metaphoric, maana halisi ya matunda tuliyokatzwa kula ni elimu au knowledgeable, na hapa haimaani elimu ya skuli au elimu hizi za kutunga vitabuni. Ni knowledge ya uhalisi wa kila kitu, kuanzia sisi binadamu ni nani kiuhalisia mpaka dunia ni kitu gani na iko wapi kiuhalisia, elimu ya aina hii hairuhusiwi kujulikana na mwanadamu yeyote na elimu tunazosomeshwa haziendani na hali halisi ni mambo ya kutunga ili kutuzuia tusile hilo tunda lilokatazwa kwenye dini na tuishi maisha yote hapa duniani bila ya kujitambua sisi ni nani kuhalisia au tuko wapi,
tunaishi kama mazombi hatujitambui tunapelekeshwa kirahisi na tunatawaliwa kirahisi tu, dunia nzima watu billion 7 wanatawaliwa na watu wasiozidi laki moja, hii yote ni kwa sababu tunaamini hizi hadithi zisizo za uhalisi. Ukweli haujawahi kusemwa duniani,
the truth is the forbidden fruit

nimeandika mbio mbio I hope it’ll make sense
natamani kukuelewa kiundani lakin nafikiri ukitulia utarudi kutupa maarifa zaidi maana hapa ulipoishia ndo umenipngezea kujidharau na kitendawili changu cha kujiuliza mimi ni nani na anayenitawala ananufaika na nini kwa kunificha ukweli ambao yeye aliutoa wapi na kwa manufaa gani asiuweke wazi
 
Hizi hadithi za adam na hawa/eve sio za kweli kuanzia mwanzo mpaka mwisho,chanzo na madhumuni ya kumfanya Adam kuwa kiumbe wa kwanza ilikuwa ni kuanzisha historia mpya ambayo watu wa magharibi watajieleza chanzo chao kupitia vitabu vyetu vya dini,watu ambao hawana historia duniani, historia ya watu weupe imeanzia na Adam,kuanzia adam mpaka sasa ni kama miaka 6000,egypt kuna pyramids zimejengwa zaidi ya miaka 15000 ilopita historia yote hio imefutwa na kupandikiziwa historia mpya na chanzo chake ni Adam na sote tunaanzia hapo.

kuhusu matunda yaliyoliwa mpaka sote tukalaaniwa na kutupwa duniani na tukawa na makosa na vitu vyengine vya ajabu ajabu,
Hii ipo hivi , ni kama kitendawili au kwa kiingereza ni metaphoric, maana halisi ya matunda tuliyokatzwa kula ni elimu au knowledgeable, na hapa haimaani elimu ya skuli au elimu hizi za kutunga vitabuni. Ni knowledge ya uhalisi wa kila kitu, kuanzia sisi binadamu ni nani kiuhalisia mpaka dunia ni kitu gani na iko wapi kiuhalisia, elimu ya aina hii hairuhusiwi kujulikana na mwanadamu yeyote na elimu tunazosomeshwa haziendani na hali halisi ni mambo ya kutunga ili kutuzuia tusile hilo tunda lilokatazwa kwenye dini na tuishi maisha yote hapa duniani bila ya kujitambua sisi ni nani kuhalisia au tuko wapi,
tunaishi kama mazombi hatujitambui tunapelekeshwa kirahisi na tunatawaliwa kirahisi tu, dunia nzima watu billion 7 wanatawaliwa na watu wasiozidi laki moja, hii yote ni kwa sababu tunaamini hizi hadithi zisizo za uhalisi. Ukweli haujawahi kusemwa duniani,
the truth is the forbidden fruit

nimeandika mbio mbio I hope it’ll make sense
Ndugu,
Historia ya Adam haipo tu kwenye vitabu vya watu Magharibi au biblia. Bali ni historia amabyo inapatikana karibia kila jamii ya kale. Ila nakubaliana na wewe kwamba inaweza kuwa ni "hadithi" imetugwa kama fumbo kuelezea kitu fulani.

Nashukuru sana kwa mchango wako.
 
Hizi hadithi za adam na hawa/eve sio za kweli kuanzia mwanzo mpaka mwisho,chanzo na madhumuni ya kumfanya Adam kuwa kiumbe wa kwanza ilikuwa ni kuanzisha historia mpya ambayo watu wa magharibi watajieleza chanzo chao kupitia vitabu vyetu vya dini,watu ambao hawana historia duniani, historia ya watu weupe imeanzia na Adam,kuanzia adam mpaka sasa ni kama miaka 6000,egypt kuna pyramids zimejengwa zaidi ya miaka 15000 ilopita historia yote hio imefutwa na kupandikiziwa historia mpya na chanzo chake ni Adam na sote tunaanzia hapo.

kuhusu matunda yaliyoliwa mpaka sote tukalaaniwa na kutupwa duniani na tukawa na makosa na vitu vyengine vya ajabu ajabu,
Hii ipo hivi , ni kama kitendawili au kwa kiingereza ni metaphoric, maana halisi ya matunda tuliyokatzwa kula ni elimu au knowledgeable, na hapa haimaani elimu ya skuli au elimu hizi za kutunga vitabuni. Ni knowledge ya uhalisi wa kila kitu, kuanzia sisi binadamu ni nani kiuhalisia mpaka dunia ni kitu gani na iko wapi kiuhalisia, elimu ya aina hii hairuhusiwi kujulikana na mwanadamu yeyote na elimu tunazosomeshwa haziendani na hali halisi ni mambo ya kutunga ili kutuzuia tusile hilo tunda lilokatazwa kwenye dini na tuishi maisha yote hapa duniani bila ya kujitambua sisi ni nani kuhalisia au tuko wapi,
tunaishi kama mazombi hatujitambui tunapelekeshwa kirahisi na tunatawaliwa kirahisi tu, dunia nzima watu billion 7 wanatawaliwa na watu wasiozidi laki moja, hii yote ni kwa sababu tunaamini hizi hadithi zisizo za uhalisi. Ukweli haujawahi kusemwa duniani,
the truth is the forbidden fruit

nimeandika mbio mbio I hope it’ll make sense
bado hujaandika kuna kitu unaficha kuwa wazi tu mkuu
 
natamani kukuelewa kiundani lakin nafikiri ukitulia utarudi kutupa maarifa zaidi maana hapa ulipoishia ndo umenipngezea kujidharau na kitendawili changu cha kujiuliza mimi ni nani na anayenitawala ananufaika na nini kwa kunificha ukweli ambao yeye aliutoa wapi na kwa manufaa gani asiuweke wazi
Nimefurahishwa sana na maswali yako
1. Wewe ni nani?
2.Kama unafichwa, je ni nini lengo la watu wanao kuficha?
3. Je, watu wanao kuficha, wapi walipata huo ufahamu?

Nadhani haya ni maswali mazito na muhimu.itapendeza kama akiweza kutusaidia au Mungu akipenda ninaweza kufanya research na kuja na post hapa.
 
natamani kukuelewa kiundani lakin nafikiri ukitulia utarudi kutupa maarifa zaidi maana hapa ulipoishia ndo umenipngezea kujidharau na kitendawili changu cha kujiuliza mimi ni nani na anayenitawala ananufaika na nini kwa kunificha ukweli ambao yeye aliutoa wapi na kwa manufaa gani asiuweke wazi
An Opium of the Mass
 
Walete walete walete.
Mwaga mpunga mkuu
Hizi hadithi za adam na hawa/eve sio za kweli kuanzia mwanzo mpaka mwisho,chanzo na madhumuni ya kumfanya Adam kuwa kiumbe wa kwanza ilikuwa ni kuanzisha historia mpya ambayo watu wa magharibi watajieleza chanzo chao kupitia vitabu vyetu vya dini,watu ambao hawana historia duniani, historia ya watu weupe imeanzia na Adam,kuanzia adam mpaka sasa ni kama miaka 6000,egypt kuna pyramids zimejengwa zaidi ya miaka 15000 ilopita historia yote hio imefutwa na kupandikiziwa historia mpya na chanzo chake ni Adam na sote tunaanzia hapo.

kuhusu matunda yaliyoliwa mpaka sote tukalaaniwa na kutupwa duniani na tukawa na makosa na vitu vyengine vya ajabu ajabu,
Hii ipo hivi , ni kama kitendawili au kwa kiingereza ni metaphoric, maana halisi ya matunda tuliyokatzwa kula ni elimu au knowledgeable, na hapa haimaani elimu ya skuli au elimu hizi za kutunga vitabuni. Ni knowledge ya uhalisi wa kila kitu, kuanzia sisi binadamu ni nani kiuhalisia mpaka dunia ni kitu gani na iko wapi kiuhalisia, elimu ya aina hii hairuhusiwi kujulikana na mwanadamu yeyote na elimu tunazosomeshwa haziendani na hali halisi ni mambo ya kutunga ili kutuzuia tusile hilo tunda lilokatazwa kwenye dini na tuishi maisha yote hapa duniani bila ya kujitambua sisi ni nani kuhalisia au tuko wapi,
tunaishi kama mazombi hatujitambui tunapelekeshwa kirahisi na tunatawaliwa kirahisi tu, dunia nzima watu billion 7 wanatawaliwa na watu wasiozidi laki moja, hii yote ni kwa sababu tunaamini hizi hadithi zisizo za uhalisi. Ukweli haujawahi kusemwa duniani,
the truth is the forbidden fruit

nimeandika mbio mbio I hope it’ll make sense
 
Back
Top Bottom