Siri nzito yafichuka CHADEMA

Najuta kupoteza muda kwa kusoma habari hii yooote na kuambulia patupu. Hili gazeti nalo nalipeleka kwenye orodha ya magazeti ya udaku.
 
tunatoa sana michango mkuu, umezoea uwizi wa magamba!

Uchunguzi utabaini kama ni michango yenu tu au kuna njia zingine zisizo za halali.

TUNTEMEKE, endelea na mzigo ingawa wamejaribu kuweka kauzibe huko lakini tunaijuwa kazi nzuri unayoifanya na tuna-uhakika hawakuwezi. Tuko pamoja nawe.
 
Mie Mpaka nimevaa na miwani, sijaona hiyo siri. Nimejaribu kutranslate kwa lugha nyingine bado sijaona hiyo siri.

Magazeti bwana, ndio maana mie sikuhizi naishia JF tu.
Between lines bonge la promo. mwandishi amechagua headline nzuri na imemfanya kila mtu asome wakiwemo magamba
 
Yaani wakati najaribu kuisoma hii habari,..
nilipatwa na wasiwasi kidogo nikahisi hiyo siri nzito ni ipi haswa.

Kumbe bila kutarajia mwandishi ameishia kuandika mwendelezo wa CHADEMA kuwafungua watu upeo wao katika siasa...

Hongera mwandishi wetu kwa kuifatilia CHADEMA!
 
nimejaribu kumulika kwa tochi natafuta siri sijaiona, nimevua miwani nimesoma tena sioni nimeuliza na wenzangu sioni siri, waandishi wengine bwana, hovyoooooooooooo
 
Kwanza kabisa inabidi hawa chadema wachunguzwe hizi fedha za kampeni inayoanza mapema hivi wanazitoa wapi? kikijulikana chanzo chao cha fedha, mchezo utakuwa umekwisha. Kuna mengi yamejificha.

Jibu lake ni dogo sana peoplessssssssssssss power! hiyo ndiyo siri ya mafanikio kwa chama kujengwa na nguvu ya wanachama bila kutumia pesa chafu.
 
Mashaka Mgeta nina mashaka na wewe.

U DC mbona umeshapita au bado ndoto zinakurudia?
Hahahahaaaaaa tutututttuuuuuu kwi kwik kwiwwwwwiiiiiiii..........................................
Ukanjanja una mambo kweli.........
 
Mtanzania hata akiambiwa na mtu ataje jina lake anasema ameambiwa siri nzito!!!!!
 
Hakuna siri hapa, nia ipo wazi ni kuwadosha ccm.
Nadhani uyu mwandishi bado yuko field\mazoezi.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Nilacha kusoma majira, sasa karibuni nitaliacha nipashe
 

nipashe sikuhizi limekuwa gazeti la kimajungu sana...
 
hao ndio waandishi wetu makanjanja
mkapa alikuwa anawatukana sana waandishi wasio na viwango hatukumwelewa
ndo kama hivi.
 
Hivi hii ni siri sasa? Mbona kwenye mikutana wanasema wazi kwamba wanajiandaa kuchukua dola?

Yaani mwandishi huyu kaniharibia siku yangu na kuanzia leo nimesikitika kwamba kumbe Ipp Media nayo haiko nyuma ina MAKANJANJA na mmoja wao ni huyu.
 
Kwanza kabisa inabidi hawa chadema wachunguzwe hizi fedha za kampeni inayoanza mapema hivi wanazitoa wapi? kikijulikana chanzo chao cha fedha, mchezo utakuwa umekwisha. Kuna mengi yamejificha.


Pambaf zako.
Wewe ni Zoba au ni zomba?

Mbona unaongea pumba. Kwani CCM nani kawakataza kwenda kwenye matawi na mashina yao kuhamasisha wanachama wao wasihamie CDM? Tunajua CCM wana hela za ufisadi na hela ya Ruzuku. Je, wakianza nao kuzunguka nchi nzima utasema wachunguzwe ati wapi wanapata pesa?

CHADEMA ni chama makini. Kwanza kabisa kinapata ruzuku kulingana na idadi ya Wabunge walio nao lakini pia wana pesa inayotokana na Wasamaria wema kama kina SABODO wanaojitolea kuichangia CHADEMA tena kupitia mabenki na mitandao ya simu kama Tigo-pesa,M-pesa, Z-pesa n.k.

Kwa hiyo mawazo yako ya kusema wachunguzwe wapi wanapata pesa ni upuuzi mtupu!
 
Kama kwako ni siri una matatizo huo ni mkakati sui siri. Jifunze kupambanua mambo usiyachukue kama yalivyo
 
Yaani mwandishi huyu kaniharibia siku yangu na kuanzia leo nimesikitika kwamba kumbe Ipp Media nayo haiko nyuma ina MAKANJANJA na mmoja wao ni huyu.


You know what? Kiwete amesha waroga Waandishi wa habari baada ya KUWAPA HONGO AU RUSHWA YA U-DC.
Kwa hiyo kinachofanyika sasa ni kila mwandishi kuipigia debe CCM na kuviponda vyama vya upinzani hasa CHADEMA ili mwisho wa siku na yeye aukwae U-DC. Kwa kweli CCM inakoelekea ni giza tupu!!!
 
Lakini wakiandika kuhusu UAMSHO wanakuwa wazuri!???????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…