Siri nzito ya 'muccob's" hii hapa.

Muccobs hata kwa chuo cha uhasibu arusha bado sana.muccobs ina hadhi ya vyuo dezaini ya teku,mount meru,cdti tengeru na masoka.
 
Muccobs hata kwa chuo cha uhasibu arusha bado sana.muccobs ina hadhi ya vyuo dezaini ya teku,mount meru,cdti tengeru na masoka.

dah mkuu MUCCoBS kikongwe sana (1964) ,baada ya udsm, kinachotakiwa ni kuwa na uelewa wakujua mambo MUCCoBS ni pazuri sana SACCoS ,accounting,law,etc
 
hahahah hamna kitu kama hicho cutt off mwisho ni 4.5 yaani iii.14 , halafu kwani mtu mwenye division three hawezi kusoma degree?,

Wee nani kakuambia dadaangu wa shule nakumbuka alikuwa na III ya 15 akachaguliwa hapo tena BAAF weee na katoka na 3.5 hapo mtanisema vibaya ila am speaking with experience jamaa
 

Poor thinking kwani mtoa mada kaelezea kuhusu waliojiajirii tu au walio ajiriwa na nimejibu kuhusu ajira kutokana na mada husika acha kukurupuka.

Kakojoe ulale ili ukue g9t.
 

Mama wee utatukana matusi yote ndugu lakini kumbuka hakuna tusi jipya.
As long as aliyekuzaa ni mwanamke labda kama ulizaliwa na babako basi yo mom too deserve all i have done hapo juu.

Tena kheri ya Sheba aliyeleta uzao wa mtu mashuhuri na muhimu kwa taifa lake kuliko mama ako aliyekuleta wewe usiye na mchango wowote kwa taifa zaidi ya kuipa burden serikali kwa kukupa huduma za kijamii.
 
Wee nani kakuambia dadaangu wa shule nakumbuka alikuwa na III ya 15 akachaguliwa hapo tena BAAF weee na katoka na 3.5 hapo mtanisema vibaya ila am speaking with experience jamaa

hahahahah dadayangu kwa hiyo hoja yako ya msingi ni ipi?
 
hahahah hamna kitu kama hicho cutt off mwisho ni 4.5 yaani iii.14 , halafu kwani mtu mwenye division three hawezi kusoma degree?,

Hoja yangu ya msingi ni hii post yako ndio maana nikakuambia mbona hata wenye 15 wapo.
 
karibu sana jamvini mdogo wangu@mpigamsulinaamini wanajukwaa waliku'miss sana. Yaliyopita si ndwele tugange yajayo.
Ila naamini ulijifunza kitu.
cc lusungo Excel seneta001 Baba V
kijana kapoa eenh! msameheni jamani! ila picha bado tunazo!

profesa ukizingua tu, tunakutungua!
 
Cant you see im fuc.kn working and they take my money and call it Tax while nikiendeshwa na daladala/kuendesha privately barabarani i pay, nikienda hospital my insuarance or cash do the paying, if i fuc.k you in a guest they take a portion and call it service charge and tax, buying ped for you kukusitiri when you go red i pay tax, even when we go to toilet the landlord take the portion and pay as tax! where in hell do you say Serikali inanipa a free service? do you know the definition of a free good, do you know them? ni chuo kipi umesoma mpaka you beleive that serikali is giving us free services!

cc; mandella Advocate J
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…