Mbalamwezi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2007
- 800
- 175
Mkuu Njaare,
nashukuru kama nawe umeona udhaifu wa hii article na inadhoofisha gazeti zima la Tanzania Daima.
Wiki hii yote Stori ya Tanesco hiyo hiyo ndiyo lead story kwenye Tanzania Daima, mnafanya kugeuza paragraph tu za juu zinakuwa chini,hakuna jipya huko? content za ajabu ajabu tu, cant you go further than that? Yaani nyie na article yenu ndiyo mnathibitisha kuwa mnatumiwa tu kama taulo tu,na mnawaaibisha waandishi wengine, kwa kuandika mambo msiyoyajua. Mathalan, mnapoandika "maombi ya Tanesco kupandisha ushuru," ushuru gani Tanesco wanapandisha?
Hebu fanyeni hata analysis ya madeni ya Tanesco yamekuwaje hadi kufikia hapo, wadaiwa ni akina nani, umeme unazalishwa kiasi gani, unanunuliwa kwa gharama gani na Tanesco wanatuuzia kwa kiasi gani? Chambueni hata operational costs za Tanesco,mfano, wanatumia sh ngapi kukanusha kwenye matangazo ghali kuwa hakuna mgao ilhali upo? Au kwa sababu mnafaidika na hayomatangazo basi mnafumba macho?
nashukuru kama nawe umeona udhaifu wa hii article na inadhoofisha gazeti zima la Tanzania Daima.
Wiki hii yote Stori ya Tanesco hiyo hiyo ndiyo lead story kwenye Tanzania Daima, mnafanya kugeuza paragraph tu za juu zinakuwa chini,hakuna jipya huko? content za ajabu ajabu tu, cant you go further than that? Yaani nyie na article yenu ndiyo mnathibitisha kuwa mnatumiwa tu kama taulo tu,na mnawaaibisha waandishi wengine, kwa kuandika mambo msiyoyajua. Mathalan, mnapoandika "maombi ya Tanesco kupandisha ushuru," ushuru gani Tanesco wanapandisha?
Hebu fanyeni hata analysis ya madeni ya Tanesco yamekuwaje hadi kufikia hapo, wadaiwa ni akina nani, umeme unazalishwa kiasi gani, unanunuliwa kwa gharama gani na Tanesco wanatuuzia kwa kiasi gani? Chambueni hata operational costs za Tanesco,mfano, wanatumia sh ngapi kukanusha kwenye matangazo ghali kuwa hakuna mgao ilhali upo? Au kwa sababu mnafaidika na hayomatangazo basi mnafumba macho?