Siri nzito amkeni mliolala

Siri nzito amkeni mliolala

mzalendoalltz

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
828
Reaction score
709
Kama umegundua kitu, katika watia nia wote wa sisiemu waliotamka neno mabadiliko wote walikatwa ambao walisema watafuata mfumo wa ccm waliachwa, fuatilia kwa makini hotuba zao youtube.

Kwa hiyo mapadlock ni geresha tu.

Kuna mpango umepangwa na mafisadi wa sisiemu kuwa mapadlock akishashinda tu wanabadilisha muundo wa chama na hivyo kumfanya mwenyekiti au rais kupokea maazimio ya chama katika kila analofanya na kama akienda kinyume wanamwekea shinikizo la kuangusha serikali, amkeni mliolala ambao hajui ni kwann walimweka magufuli mzee wa maamuzi Magumu

Kwa hiyo magufl ni geresha tu.

ambao hajui ni kwann walimweka mapdlock mzee wa maamuzi magumu, ni ili mumpe kura yenu halafu soon watabadilisha utaratibu au katiba ya chama.

Kuwa makini usiwe kama nyumbu wanaofuatana bila kujua wanafuata hatari au la ,

Wanajua wananchi wamekasirishwa na ufisadi mkubwa sana ndani ya Sisiemu ambao hausafishiki

Pili walijua Lowasa atahama chama kwa hiyo wataitumia hiyo kama silaha ya kujiosha

Lakini mjue ufisadi wa SISIEMU ni mtandao mkubwa saana ambao ni hatari sana kwa taifa letu kuweni makini na acheni ushabiki.
 
Makongoro Nyerere alisema atafuata ilani ya uchaguzi ya CCM-2015-2020, lakini bado alikatiliwa mbali.
 
Sidhani kama CCM watatumia karata ya ufisadi kumwangamiza.ufisadi mngapi wa CCM Lowasa anaujua
 
Kama umegundua kitu, katika watia nia wote wa sisiemu waliotamka neno mabadiliko wote walikatwa ambao walisema watafuata mfumo wa ccm waliachwa, fuatilia kwa makini hotuba zao youtube.

Kwa hiyo mapadlock ni geresha tu.

Kuna mpango umepangwa na mafisadi wa sisiemu kuwa mapadlock akishashinda tu wanabadilisha muundo wa chama na hivyo kumfanya mwenyekiti au rais kupokea maazimio ya chama katika kila analofanya na kama akienda kinyume wanamwekea shinikizo la kuangusha serikali, amkeni mliolala ambao hajui ni kwann walimweka magufuli mzee wa maamuzi Kama umegundua kitu, katika watia nia wote wa ccm waliotamka neno mabadiliko wote walikatwa ambao walisema watafuata mfumo wa ccm waliachwa, fuatilia kwa makini hotuba zao youtube.

Kwa hiyo magufuli ni geresha tu.

Kuna mpango umepangwa na mafisadi wa ccm kuwa magufuli akishashinda tu wanabadilisha muundo wa chama na hivyo kumfanya mwenyekiti au rais kupokea maazimio ya chama katika kila analofanya na kama akienda kinyume wanamwekea shinikizo la kuangusha serikali, amkeni mliolala ambao hajui ni kwann walimweka mapdlock mzee wa maamuzi magumu, ni ili mumpe kura yenu halafu soon watabadilisha utaratibu au katiba ya chama.

Kuwa makini usiwe kama nyumbu wanaofuatana bila kujua wanafuata hatari au la ,

Wanajua wananchi wamekasirishwa na ufisadi mkubwa sana ndani ya Sisiemu ambao hausafishiki

Pili walijua Lowasa atahama chama kwa hiyo wataitumia hiyo kama silaha ya kujiosha

Lakini mjue ufisadi wa SISIEMU ni mtandao mkubwa saana ambao ni hatari sana kwa taifa letu kuweni makini na acheni ushabiki.

Wel, nakumbuka hotuba yake siku aliyochaguliwa kuwa mgombea wa CCM alikua amesahau kusema neno kama hilo, then kama mtu akamkumbusha, akarudi na kumalizia kwa kusema, 'Na nitafuata Ilani ya chama'. Nilishangazwa na hicho kitendo, as ilionekana ni lazima kusema hilo neno, otherwise, asingerudi kulisema. So, based on that, wenda hoja yako ikawa na mashiko kwa namna moja au nyingine.
 
kama umegundua kitu, katika watia nia wote wa sisiemu waliotamka neno mabadiliko wote walikatwa ambao walisema watafuata mfumo wa ccm waliachwa, fuatilia kwa makini hotuba zao youtube.

Kwa hiyo mapadlock ni geresha tu.

Kuna mpango umepangwa na mafisadi wa sisiemu kuwa mapadlock akishashinda tu wanabadilisha muundo wa chama na hivyo kumfanya mwenyekiti au rais kupokea maazimio ya chama katika kila analofanya na kama akienda kinyume wanamwekea shinikizo la kuangusha serikali, amkeni mliolala ambao hajui ni kwann walimweka magufuli mzee wa maamuzi kama umegundua kitu, katika watia nia wote wa ccm waliotamka neno mabadiliko wote walikatwa ambao walisema watafuata mfumo wa ccm waliachwa, fuatilia kwa makini hotuba zao youtube.

Kwa hiyo magufuli ni geresha tu.

Kuna mpango umepangwa na mafisadi wa ccm kuwa magufuli akishashinda tu wanabadilisha muundo wa chama na hivyo kumfanya mwenyekiti au rais kupokea maazimio ya chama katika kila analofanya na kama akienda kinyume wanamwekea shinikizo la kuangusha serikali, amkeni mliolala ambao hajui ni kwann walimweka mapdlock mzee wa maamuzi magumu, ni ili mumpe kura yenu halafu soon watabadilisha utaratibu au katiba ya chama.

Kuwa makini usiwe kama nyumbu wanaofuatana bila kujua wanafuata hatari au la ,

wanajua wananchi wamekasirishwa na ufisadi mkubwa sana ndani ya sisiemu ambao hausafishiki

pili walijua lowasa atahama chama kwa hiyo wataitumia hiyo kama silaha ya kujiosha

lakini mjue ufisadi wa sisiemu ni mtandao mkubwa saana ambao ni hatari sana kwa taifa letu kuweni makini na acheni ushabiki.

heri yako umesema
 
Kama umegundua kitu, katika watia nia wote wa sisiemu waliotamka neno mabadiliko wote walikatwa ambao walisema watafuata mfumo wa ccm waliachwa, fuatilia kwa makini hotuba zao youtube.

Kwa hiyo mapadlock ni geresha tu.

Kuna mpango umepangwa na mafisadi wa sisiemu kuwa mapadlock akishashinda tu wanabadilisha muundo wa chama na hivyo kumfanya mwenyekiti au rais kupokea maazimio ya chama katika kila analofanya na kama akienda kinyume wanamwekea shinikizo la kuangusha serikali, amkeni mliolala ambao hajui ni kwann walimweka magufuli mzee wa maamuzi Kama umegundua kitu, katika watia nia wote wa ccm waliotamka neno mabadiliko wote walikatwa ambao walisema watafuata mfumo wa ccm waliachwa, fuatilia kwa makini hotuba zao youtube.

Kwa hiyo magufuli ni geresha tu.

Kuna mpango umepangwa na mafisadi wa ccm kuwa magufuli akishashinda tu wanabadilisha muundo wa chama na hivyo kumfanya mwenyekiti au rais kupokea maazimio ya chama katika kila analofanya na kama akienda kinyume wanamwekea shinikizo la kuangusha serikali, amkeni mliolala ambao hajui ni kwann walimweka mapdlock mzee wa maamuzi magumu, ni ili mumpe kura yenu halafu soon watabadilisha utaratibu au katiba ya chama.

Kuwa makini usiwe kama nyumbu wanaofuatana bila kujua wanafuata hatari au la ,

Wanajua wananchi wamekasirishwa na ufisadi mkubwa sana ndani ya Sisiemu ambao hausafishiki

Pili walijua Lowasa atahama chama kwa hiyo wataitumia hiyo kama silaha ya kujiosha

Lakini mjue ufisadi wa SISIEMU ni mtandao mkubwa saana ambao ni hatari sana kwa taifa letu kuweni makini na acheni ushabiki.

Hamna kitu kama hicho. Ni hisia zako tu. Uchaguzi wa sasa hivi CCM itapata challenge kubwa xo kama wameshapata raisi hawawezi risk kuingia tena kwenye uchaguzi. Hisia zako zijazikubali
 
Unaweza umeongea kitu cha point sana lakini hutaeleweka
 
Kama umegundua kitu, katika watia nia wote wa sisiemu waliotamka neno mabadiliko wote walikatwa ambao walisema watafuata mfumo wa ccm waliachwa, fuatilia kwa makini hotuba zao youtube.

Kwa hiyo mapadlock ni geresha tu.

Kuna mpango umepangwa na mafisadi wa sisiemu kuwa mapadlock akishashinda tu wanabadilisha muundo wa chama na hivyo kumfanya mwenyekiti au rais kupokea maazimio ya chama katika kila analofanya na kama akienda kinyume wanamwekea shinikizo la kuangusha serikali, amkeni mliolala ambao hajui ni kwann walimweka magufuli mzee wa maamuzi Magumu

Kwa hiyo magufl ni geresha tu.

ambao hajui ni kwann walimweka mapdlock mzee wa maamuzi magumu, ni ili mumpe kura yenu halafu soon watabadilisha utaratibu au katiba ya chama.

Kuwa makini usiwe kama nyumbu wanaofuatana bila kujua wanafuata hatari au la ,

Wanajua wananchi wamekasirishwa na ufisadi mkubwa sana ndani ya Sisiemu ambao hausafishiki

Pili walijua Lowasa atahama chama kwa hiyo wataitumia hiyo kama silaha ya kujiosha

Lakini mjue ufisadi wa SISIEMU ni mtandao mkubwa saana ambao ni hatari sana kwa taifa letu kuweni makini na acheni ushabiki.

Ya ccm yanawahusu nini? endeleeni na makapi yenu.
 
Kama umegundua kitu, katika watia nia wote wa sisiemu waliotamka neno mabadiliko wote walikatwa ambao walisema watafuata mfumo wa ccm waliachwa, fuatilia kwa makini hotuba zao youtube.

Kwa hiyo mapadlock ni geresha tu.

Kuna mpango umepangwa na mafisadi wa sisiemu kuwa mapadlock akishashinda tu wanabadilisha muundo wa chama na hivyo kumfanya mwenyekiti au rais kupokea maazimio ya chama katika kila analofanya na kama akienda kinyume wanamwekea shinikizo la kuangusha serikali, amkeni mliolala ambao hajui ni kwann walimweka magufuli mzee wa maamuzi Magumu

Kwa hiyo magufl ni geresha tu.

ambao hajui ni kwann walimweka mapdlock mzee wa maamuzi magumu, ni ili mumpe kura yenu halafu soon watabadilisha utaratibu au katiba ya chama.

Kuwa makini usiwe kama nyumbu wanaofuatana bila kujua wanafuata hatari au la ,

Wanajua wananchi wamekasirishwa na ufisadi mkubwa sana ndani ya Sisiemu ambao hausafishiki

Pili walijua Lowasa atahama chama kwa hiyo wataitumia hiyo kama silaha ya kujiosha

Lakini mjue ufisadi wa SISIEMU ni mtandao mkubwa saana ambao ni hatari sana kwa taifa letu kuweni makini na acheni ushabiki.

hoja dhaifu mno yani hapo tu ndo umeona pakusimamia!
 
Back
Top Bottom