Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    540
Sasa hiki ndio nn? Sema shida iko wapi, nimekupa mfano wa mpira
Hicho kitendo cha Jua kuwa kwenye miguu yetu relatively ni kitendo ambacho hakipo na hakijawahi hata kuwa observed/pictured hata mara moja,...

Kinachofanya uamini na kuona ni kitendo cha kawaida ni Imani yako kubwa juu ya nadharia ya Dunia Tufe linalozunguka,...licha ya kwamba huna uthibitisho wowote juu ya Jua kuwa usawa wa miguu yetu relatively.
 
Hicho kitendo cha Jua kuwa kwenye miguu yetu relatively ni kitendo ambacho hakipo na hakijawahi hata kuwa observed/pictured hata mara moja,...

Kinachofanya uamini na kuona ni kitendo cha kawaida ni Imani yako kubwa juu ya nadharia ya Dunia Tufe linalozunguka,...licha ya kwamba huna uthibitisho wowote juu ya Jua kuwa usawa wa miguu yetu relatively.
Kazi kweli, Fungua ubongo wako mkuu
 
Kwanza unatakiwa ufahamu kwamba Dunia kuwa flat/Tufe hakuhusiani na Ndege kuadjust altitude., unless uwe hujui nini maana ya kuadjust altitude.

Hata kama Dunia ingekua Tufe Ndege still zingekua na uwezo wa kuadjust altitude,...kama ilivyo sasa ambapo Dunia ni flat lakini still zinafanya hivyo....

Aircraft adjust their altitude by ascending (going upward) or descending (going downward) as needed. Pilots control these movements using the aircraft's controls to change its vertical position in the air......sasa kitendo hicho ⬅️ kunahusiana vipi na umbo la Dunia, huoni kama kwenye umbo lolote la Dunia kinawezekana as long as anga lipo void(empty)?


Nina wasiwasi hujui nini maana ya adjusting altitude....
Umeelezea vyema kabisa, lakini point yangu ni kuwa planes zina adjust altitude Ili kufuata planed route ya ndege yes ni sahihi, Kwa maana ya kwamba hazifanyi ivo kufata curvature ya dunia directly.

Ndege huwa zina designed route Yao inaitwa great circle route ambayo kimsingi ndio short route inayotumiwa na ndege, sasa kama umesoma kuhusu hii great circle route (nilikuambia uipitie haujaja na majibu) utaona kabisa ipo curved Kwa maana ya kuwa wali consider curvature of the earth Kwa safari ndefu za ndege. Tazama picha chini, najua utauliza mbona ramani ni tambarare😀, hiyo ni projection of Map, ilikuweza kuonesha vzr point (places) mbili.

great_circle-vs-rhumb_line.jpg
 

Attachments

  • great_circle-vs-rhumb_line.jpg
    great_circle-vs-rhumb_line.jpg
    26.9 KB · Views: 0
Kuna quote yko umenireply,.. nadhani itafaa kujibu hili swali lako...👇🏼


Unaposema ni Flattened at its poles,...ni sawa na kusema Dunia ni Flat lakini sio perfect flat.....

Sasa,..Je, na Mimi nikikuuliza swali kama uliloniuliza Mimi kuhusu "earth is not a perfect sphere" nitakua sahihi??????

Maana naona hapa unakubali na kukiri mwenyewe kwamba Dunia sio perfect flat.
Unajua maana ya poles? Sasa flat inapoles? Kusema flattened at it's poles haimaanishi sio perfect flat, Kwa sabab kinyume Cha sphere sio flat😀,

Yaan kwa mfano urefu na ufupi, mtu akisema labda mtu Fulani sio mrefu sana itakuwa inamaanisha huyo mtu sio mfupi sana Kwa sabab kinyume Cha mrefu ni mfupi.

Ila Kwa case ya sphere, kinyume chake sio flat.
 
Kwanza unakubaliana na statement yake aliposema "Gravity sio Force"?

Na kama unakubali kwanini ulikua unapambana kuonyesha gravity ni force,...na kila nilipojaribu kukuelewesha ukawa umejikita kwenye ubishi na kuleta formula ambazo zimetungwa tu kinadharia na hazi depict actual facts!?
Hii ni sayansi, siwezi kusema Kwa hakika kuwa Newtons hakuwa sahihi while utafiti wake Bado ina-apply katika daily life na unaleta majibu sahihi kama nilivyowahi kukuambia hapo awali, Newton Ali initiate concept wakati Einstein akaja ku revolution understanding ya gravity. Kwahy kwenye baadhi applications hasa tulizonazo Kila siku tunatumia gravity as a force. Kujibu swali lako According to Einstein gravity sio force.

Na wewe unakubali kuwa hata hiyo gravity ya Einstein inaelezea why things fall? Na akaelezea jinsi more massive objects zinakuwa revolved by less massive objects??
 
Hicho kitendo cha Jua kuwa kwenye miguu yetu relatively ni kitendo ambacho hakipo na hakijawahi hata kuwa observed/pictured hata mara moja,...
Kuwa observed kivipi? Sasa kama utakubaliana na Dunia tufe utaona kuwa kinawezekana Kwa sababu wakat huku ni usiku huko ni mchana,
 
Kinachofanya uamini na kuona ni kitendo cha kawaida ni Imani yako kubwa juu ya nadharia ya Dunia Tufe linalozunguka,...licha ya kwamba huna uthibitisho wowote juu ya Jua kuwa usawa wa miguu yetu relatively.
Naww pia kinachokufanya ukatae ni Kwa sabab hauamini katika Dunia tufe, licha ya kwamba hujawahi kuona hayo mabarafu kwenye Kingo za Dunia, hujawah kuona Hilo funiko la grass la Dunia. Ila unaamini tu.
 
Nmekutana na hii clip ya ndege shirika la Emirates, Vipi unaona picha/ramani ya Dunia yenye umbo gani hapo ?
Ndiyo maana huwa nasema kwamba upo addicted na videos & picha....... ukiangalia vizuri nje kupitia kioo cha Ndege unaona kabisa jinsi Dunia ilivyo flat cha kushangaza umeamua kuangalia hiyo picha na sio uhalisia unaouona nje.
 
Sasa hapa ndo umesema nn? Mm nakwambia zinaadjust Ili kufata path yake, sasa kama Dunia ni flat it means hata path yake ni flat, so why kama Dunia ni flat zinafanya hivo?
Sasa wewe nani aliyekuambia aircraft paths zipo curved?


Unaweza ukathibitisha hapa tuone hizo curved paths?

NB:- zingatia kuleta uhalisia unaoonyesha kwamba aircraft paths zipo curved na sio ulete michoro(manmade).
 
Umeelezea vyema kabisa, lakini point yangu ni kuwa planes zina adjust altitude Ili kufuata planed route ya ndege yes ni sahihi, Kwa maana ya kwamba hazifanyi ivo kufata curvature ya dunia directly.

Ndege huwa zina designed route Yao inaitwa great circle route ambayo kimsingi ndio short route inayotumiwa na ndege, sasa kama umesoma kuhusu hii great circle route (nilikuambia uipitie haujaja na majibu) utaona kabisa ipo curved Kwa maana ya kuwa wali consider curvature of the earth Kwa safari ndefu za ndege. Tazama picha chini, najua utauliza mbona ramani ni tambarare😀, hiyo ni projection of Map, ilikuweza kuonesha vzr point (places) mbili.

View attachment 2973215
Kwahiyo unataka utudanganye hapa kwamba Ndege zote duniani zikisafiri zinafuata huo mchoro hapo juu?

Hiyo sio kweli,... Ndege ikitaka kwenda Moldovia inaweza ikatumia route yoyote itakayojipangia na inafika vizuri tu.
 
Hii ni sayansi, siwezi kusema Kwa hakika kuwa Newtons hakuwa sahihi while utafiti wake Bado ina-apply katika daily life na unaleta majibu sahihi kama nilivyowahi kukuambia hapo awali, Newton Ali initiate concept wakati Einstein akaja ku revolution understanding ya gravity. Kwahy kwenye baadhi applications hasa tulizonazo Kila siku tunatumia gravity as a force. Kujibu swali lako According to Einstein gravity sio force.

Na wewe unakubali kuwa hata hiyo gravity ya Einstein inaelezea why things fall? Na akaelezea jinsi more massive objects zinakuwa revolved by less massive objects??
Bado hujajibu,... Ila kimsingi naamini umekubaliana na hoja ya Einstein kwamba gravity sio force,....so naamini utaacha kabisa humu kuaminisha watu kwamba gravity ndiyo inafanya vitu kuanguka na kupaa.
 
Kuwa observed kivipi? Sasa kama utakubaliana na Dunia tufe utaona kuwa kinawezekana Kwa sababu wakat huku ni usiku huko ni mchana,
Ndiyo nimesema hiyo scenario haitokei/ haijawahi kuwa observed kwasababu Dunia sio tufe kama ulivyoaminishwa.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom