Siri iliyopo Ziwa Victoria

Siri iliyopo Ziwa Victoria

Tanzania tuna maziwa mengi ikiwemo Tanganyika na Nyasa.Mwaka 1996 ilitokea ajali ya meli damu ikamwagika.Miaka 2 iliyopita kivuko kiliua huko Busya sikumbuki jina kamili.Juzi Ndege imeua.Hili ziwa ni kwanini lina kiu ya damu namna hiyo.Huenda hili ziwa linafanyiwa matambiko makali sana.Ajali ni popote ila mbona maziwa kama Tanganyika huko hayanywi damu sana?wataalamu wa Imani na Washirikina mnalisemeaje hili?
Bendera ya nchi yenu ina mstari mweusi katikati tegemea mambo kama haya kutokea kila wakati na bado utashangaa sana
 
Tanzania tuna maziwa mengi ikiwemo Tanganyika na Nyasa.Mwaka 1996 ilitokea ajali ya meli damu ikamwagika.Miaka 2 iliyopita kivuko kiliua huko Busya sikumbuki jina kamili.Juzi Ndege imeua.Hili ziwa ni kwanini lina kiu ya damu namna hiyo.Huenda hili ziwa linafanyiwa matambiko makali sana.Ajali ni popote ila mbona maziwa kama Tanganyika huko hayanywi damu sana?wataalamu wa Imani na Washirikina mnalisemeaje hili?
Kuna nguvu za asili za kimvutano any way mwana malund shujaa wa kisukuma aliweza kutembea juu ya maji ziwan na ndio ilikua maskan yake kwenye yale mawe ya bismark rock
 
Kuna nguvu za asili za kimvutano any way mwana malund shujaa wa kisukuma aliweza kutembea juu ya maji ziwan na ndio ilikua maskan yake kwenye yale mawe ya bismark rock
Walitambikia?
 
Back
Top Bottom