Siri 5 Mauaji Msikitini

Huwa kila siku sipati maana halisi ya baadhi ya mafundisho. R.I.P Feruzi umefariki ukiwa na umri mdogo sana eti na watu wanaompigania mtume!!!
Umesoma au unakurupuka tu? Wapi wamesema wamewauwa kwa kumpigania mtume? Na waliouliwa sima walikuwa wanampigania nani?
 
Polisi wenyewe Ndio wanaongoza kuvujisha habari wanazopelekewa na wasamaria wema,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…