Kama lengo c kubadilisha MTU iman take c mngeleta makanisan?
Mijitu michawi tu inavaa ngozi ya kondoo ili ipate watu wakutoa makafara zaidi.
Tooooka shetani kwa Jina la Yesu!
Kama lengo c kubadilisha MTU iman take c mngeleta makanisan?
Sifa unapeleka damu ya mtu umpendae then unakuwa mwanachamaNitaingia soon, sema hawajaweka sifa za kuingia
Nana mbona kama una details za kutosha ...tushirikisheFreemason ni giza totoro. Anajifaragua hapo ili apate Wateja Lakini ukweli ni kuwa Freemason ni kuuana tupu na hakuna ataeweza eleza hivyo ni mpaka mtu uingie mwenyewe au alieko aasi ndo ataweza sema ukweli
Ukifuatilia facts kutoka kwa baadhi ya watu waliokuwa Freemason watakwambia ukweli. Niliwahi kuwa na kitabu cha mtu aliekuwa member wa Freemason, kaeleza kila kitu kinachofanyika hukoNana mbona kama una details za kutosha ...tushirikishe
Niazime plsUkifuatilia facts kutoka kwa baadhi ya watu waliokuwa Freemason watakwambia ukweli. Niliwahi kuwa na kitabu cha mtu aliekuwa member wa Freemason, kaeleza kila kitu kinachofanyika huko
Sio ndio maana kuna Makanisa, Misikiti, Bar na Shule...ili kila mmoja achague panapomfaa.Kama lengo c kubadilisha MTU iman take c mngeleta makanisan?
Bora nife maskini maishani mwangu, siwezi kufanya huo upuuzi maisha yangu yote.Sifa unapeleka damu ya mtu umpendae then unakuwa mwanachama
Mkuu na wewe ni mmoja wao nini? Maana Avatar yako inatisha sana.
Wanawake hawa ruhusiwiMkuu na wewe ni mmoja wao nini? Maana Avatar yako inatisha sana.
Mimi ni mwanaume, simba was vitaWanawake hawa ruhusiwi
Mimi ni Mother Nature bila Mimi dunia ungeisikia tu!Mimi ni mwanaume, simba was vita