Sipewi unyumba

sukariyawarembo

Senior Member
Joined
Aug 2, 2019
Posts
167
Reaction score
117
Tuko mwaka wa pili sasa katika mahusiano na huyu kigori.

Ila hatujawahi kukutana nae kimwili hata mara moja.shida ipo kwake yaani hataki kabisa hilo suala kila siku nikumuomba anasema nivute subira.

Na akija anagoma na mi sitaki kumlazimisha nataka anipe kwa ridhaa yake,,lakini naona subiri inavuta punyeto,maana nimesubiri hadi basi.

Nampenda sana siwezi kumuacha kwa kweli.

Mna nini cha kunambia wenzangu juu ya hii inshu na ingekuwa ni nyinyi mngefanyaje?
 
Wewe hata hueleweki unataka msaada gani
 
Ukiona demu hakupi na sio bikra... JUA KUNA MWANA ANAMLAAAAA UHAKIKA 100%
 
Endelea kuvumilia tu
 
Nakushauri acha kujiita sukariyawarembo badala yake jiite mfunguavizibovyaasali. Hakika utapewa buyu ufungue kizibo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…