Tabia ya msichana/mwanamke,siku ya kwanza mnakutana kwa maongezi,anafika eneo la tukio,lakini anakuwa busy na kuchati,yaani hata mistari unayomshushia inakatikakatika!badilikeni bhana,tabia hiyo sio,yaani ni kama wale wanaosoma gazeti wakati wa majamboz!
May be unaboa ndo mana
Verse hazina maana