jerrysonkiria
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 2,228
- 2,902
Nawachukia sana wanawake waigizaji kwenye mapenzi ,kitandani uniigizie ,hata maisha ya kawaida pia uniigizie?
Eti oooh!! Mi sipendi pesa zako na hukuti hata siku moja anakuomba hata mia tano ya vocha then anakutangazia kwa mademu wenzie ,mwanaume wangu mbahili hata hajawai kuninunulia vocha au hata kyupi ya mtumba !! ,
Sasa hata nikileta zawadi Unasema usitumie pesa zako ovyo mpenzi mi sipendi hivyo mpenzi wangu
Then unanisema mi mbahili what unamaanisha ??
samahani nimeongea kwa jazba kidogo
Eti oooh!! Mi sipendi pesa zako na hukuti hata siku moja anakuomba hata mia tano ya vocha then anakutangazia kwa mademu wenzie ,mwanaume wangu mbahili hata hajawai kuninunulia vocha au hata kyupi ya mtumba !! ,
Sasa hata nikileta zawadi Unasema usitumie pesa zako ovyo mpenzi mi sipendi hivyo mpenzi wangu
Then unanisema mi mbahili what unamaanisha ??
samahani nimeongea kwa jazba kidogo