Sipendi condom

LEVEL

Senior Member
Joined
Jul 4, 2013
Posts
195
Reaction score
51
jamani naombeni ushauri coz mwenzenu sipend kabisa kutumia condom kwa mademu zangu.
 
Hakuna anayependa ila inahitajika kama kinga.

Hata watoto hulia wakichomwa sindano...
 
ARV unazipenda?

Ha ha ha.. JF ninavyoipenda nitakunywa sumu juu yake.. Hivi wewe Kongosho ulijua kuna mluga atakuja na maneno kama haya ukatayarisha kabisa hili jibu/swali lako..? Maana limeniacha hoi.. Ni zaidi ya jibu lol..
 
Last edited by a moderator:
daaah brother upo Tatar kulea. watoto lakini? coz.....usipotumia izo ishu mademoiselle zako wote hao. ni mimba mwanzo mwisho, ushaur jifunze kutumia kidogokidogo.
 
Tumia mifuko ya rambo mkuu...wala usiumize kichwa mizuri sana unapokutana na oversize unaizungushia mpaaka unafeel jidduud alizami hapo unasonga
 
Kuwa na mpenzi mmoja au uoe kabisa, sasa hupendi ndom afu unao wengi, hujihurumii?
Ila nakumbuka ilitoka mada moja humu, wengi hawapendi.... na hata wapenzi wao hawawashurutishi kutumia ndom, so hilo ni tatizo.
 
Mkuu LEVEL tuko pamoja, hii makitu tuipinge kwa nguvu zetu zote! kwanza ni dhambi sana kuyatumia. mm nikiyaona tu Jongoo analala!
 
Last edited by a moderator:
mimi pia nilikuwa sipendi kutumia zamani, ilitokea nikakutana na demu mmoja akaniambukiza ghono.. ndio nikaanza kutumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…