Sipatii picha waraka wa TEC wa pasaka utakuwaje

Sipatii picha waraka wa TEC wa pasaka utakuwaje

TEC kwasasa hawana jipya na hawatakua na jipya tangu mpango wao wa mapinduzi kufeli ni kama wame athirika ki saikolojia.
Duniani kote, mpango wako wa mapinduzi ya Serikali ukifeli tegemea malipo stahiki kwa serikali husika.
NI swala la muda tu.
 
TEC kwasasa hawana jipya na hawatakua na jipya tangu mpango wao wa mapinduzi kufeli ni kama wame athirika ki saikolojia.
Duniani kote, mpango wako wa mapinduzi ya Serikali ukifeli tegemea malipo stahiki kwa serikali husika.
NI swala la muda tu.
Na nyie wizi wenu wa kura utawaumiza sana vipi hapo mnajiskiaje kutengwa na watu na mpo mnakaa kwa kujificha kama Digi digi pangoni hamna jipya
 
TEC kwasasa hawana jipya na hawatakua na jipya tangu mpango wao wa mapinduzi kufeli ni kama wame athirika ki saikolojia.
Duniani kote, mpango wako wa mapinduzi ya Serikali ukifeli tegemea malipo stahiki kwa serikali husika.
NI swala la muda tu.
Nani kakuambia hawana jipya? wangekuwa wanaandamwa hivyo?
 
Nani kakuambia hawana jipya? wangekuwa wanaandamwa hivyo?
Mapinduzi yakisha feli wengine wanavujisha Siri ndicho kinacho endelea, Wapo wanao vujisha Siri ya nanina nani walikua wahusika wakuu katika mpango wa mapinduzi na walikua waki husika vipi.
Tusubiri baada ya muda wahusika wote wa nje na ndani watakuwa hadharani Tena kwa ushahidi usio na shaka
 
Na nyie wizi wenu wa kura utawaumiza sana vipi hapo mnajiskiaje kutengwa na watu na mpo mnakaa kwa kujificha kama Digi digi pangoni hamna jipya
Ujinga ni mzigo mzito sana, Nyie mnasena watu wenye vinasaba vya ku shabikia upinzani hawakupiga kura isipokua wale wenye vinasaba vya CCM na CCM wenyewe Sasa nani aliye ibiwa kura ikiwa wote waliopiga ni CCM!!
Punguzeni u poyoyo.
Hamna hoja zenye mantiki
 
Ujinga ni mzigo mzito sana, Nyie mnasena watu wenye vinasaba vya ku shabikia upinzani hawakupiga kura isipokua wale wenye vinasaba vya CCM na CCM wenyewe Sasa nani aliye ibiwa kura ikiwa wote waliopiga ni CCM!!
Punguzeni u poyoyo.
Hamna hoja zenye mantiki
Nyie ndio hamna hoja kwanza ile siku hakuna watu waliopiga kura wakazidi hata elfu 10 nchi nZima jioni mliishia kujipigia kura wenyewe vituoni tu kwa kuubaka uchaguzi
 
TEC kwasasa hawana jipya na hawatakua na jipya tangu mpango wao wa mapinduzi kufeli ni kama wame athirika ki saikolojia.
Duniani kote, mpango wako wa mapinduzi ya Serikali ukifeli tegemea malipo stahiki kwa serikali husika.
NI swala la muda tu.
Kipindi hiki wamekula mabanzi ya kutosha
Walijiaminisha ujinga sana sababu walipewa shavu na nyerere kipindi chake
Hata wakati Mjeshi Kikwete ndio kawa Raisi anaitisha kikao cha baraza la mawaziti, anashangaa Pengo anatinga na gauni lake, akauliza huyu mbung'o anakuja kufanya nini hapa, mawaziri vichwa fyongo wakaanza kumtetea ati anawakilisha kanisa,
Kikwete akamtoa mkuku na kusema kuanzia hapo haruhusiwi tena, muda si mrefu wakatoa waraka mrefu sana wakidhani atarudishwa, Mzee wa Msoga akaminya hasa hakuna huo ujinga ndio ikawa vita ya TEC na Kikwete.

Na sasa hakuna muda wamedhalilishwa kama hiki kipindi, waliitwa kula ubwabwa wakati wa kusaini mkataba wa bandari, yule mlevi kitima alikoswakoswa, na mpaka leo hakuna kesi.
Na sasa wamefanywa kama chiriku wanalopolopo mfululizo hadi wanawaktaa wakatoliki wenzao, na hii inaonyesha fupa limekaba kumeza.
 
Ndugu zangu kutokana na kilichotokea october 29, siupatii picha waraka wakina padri kitima utakuaje aisee
Nani anajali!?..au kwa kuwa hutubu kwao unadhani Wana umuhimu kwa kila mtu!?..watoe tu tamko la tisa kisha waendelee kulewa
 
Ndugu zangu kutokana na kilichotokea october 29, siupatii picha waraka wakina padri kitima utakuaje aisee
Tayari highlights zishatoka. Ukatoliki halisi na ule ukatoliki wa madera na vijora njaa
 
Back
Top Bottom