KWA WAKRISTOmmh kuna andiko lolote linaunga mkono hoja yako?
ukikosa ujue hiyo ni stor tu
Siku hiyo ni kutafutana...ndugu waumini watawapiga manabii wao.Pata picha wale manabii wa uongo wanapokutana na manabii wenyew
HatariSipati picha kwa wale wanaopiga mtungi kwa kujifichaficha
Sio wote mkuu..halafu usifuate mtu fuata vitabu.Hakuna siku ya mwisho, we kama huitumii dunia kisa eti utaingia sijui peponi unapoteza muda wako. Waliotuletea dini ndo wanaogoza kwa zambi za kuuana na kutuletea virusi vya magonjwa, ndo wanaoongoza kwa roho mbaya jiulize mbona hawafikirii hayo ya peponi/motoni?
PG 0Sijui watazingatia "censorship" ya matendo yetu maana kuna kitu siku hiyo napendekeza kiwepo ...ONYESHO LINALOFUATA LINAFAA KUTAZAMWA NA UMRI....
nimeyasoma hakuna mahali nimesoma..KWA WAKRISTO
1. Waebrania 9: 27
2. Warumi 14: 10-12
3. 2Wakkritho 5: 10
4. 1petro 4:5
5. Yohana 12: 31
Kuna mafungu zaidi ya 60 kwenye biblia.
KWA WAISLAMU
Quran 80: 33-42
ASANTE
Jiwe atakuwa kiongozi wa malaika hii issue haimuhusuSiku ambayo mfalme atakua ni mmoja tu. Hakuna cha JPM, kagame, museveni walanani ......kuna haja yakujitafakali tunayoyatenda
Nitakutumia mengine mkuu..ili upate picha vzri.nimeyasoma hakuna mahali nimesoma..
kutakuwa na picha...
pia sijasoma hukumu itakuwa inahusisha kikundi cha watu eti kwamba wengine ni watazamaji...
Hebu picha picha ulivyo hide your ID!Hebu fikiria siku ambayo halaiki ya watu imekodoa macho kuangalia matendo yako yote yaliyo ya wazi na yale ya siri.
Hebu piga picha yule rafiki yako uliyemchukulia mke wake anakuona unazini na mke wake.
Hebu piga picha mzazi mwenzako anakuona vile unamtoa kafara mtoto wenu kisa utajirike.
Hebu piga picha tunakuona ukiwa unaroga majirani zako na wakati kanisani au msikitini hukosi.
Hebu piga picha tunaona ukiwapanga majambazi wakavamie kwa mjomba, binamu au baba yako.
Hebu piga picha wewe mchungaji au shehe unaonekana ukizini gesti na mhumini wako.
Hebu piga picha wewe unayetoa kafara raia wasio na hatia ili ushinde uchaguzi wa jimbo lako.
Hebu piga picha ulivyomuaga mmeo kuwa unaenda sokoni au kwa rafiki yako kumbe unaenda gheto la mchepuko wako.
Hebu piga picha siku hiyo kale katabia kako ka kudanganya wana JF. kanaonekana wazi.
Hebu piga picha siku ambayo yule Adam na Hawa uliyemsikia na kumsoma unamuona kwa macho.
Hebu piga picha pale unapogundua kwa mara ya kwanza watoto ulionao sio wako.
Hebu piga picha wafanya kazi wenzako kwa mara ya kwanza wanajua kua ulipata cheo chako baada ya kutanua mabaja.
Hebu piga picha siku ambayo kwa mara ya kwanza JF members tunajua jina lako halisi.
Mimi nimejaribu kupiga picha na kisimu changu sipati picha kamili.
Unaambiwa kila jambo unalolitenda litaletwa hadharani haijalishi la wazi au la siri.
Unaambiwa mimea, mawe , mchanga, vitanda oxgen na kila kitu kinachoonekana na kisichoonekana huwa vinarekodi matukio ya wanadamu.
ASANTENI
Siku hiyo tutashikana mashata...maana kuna watu wanatukana baba zao bila kujua.Hebu picha picha ulivyo hide your ID!
sawa...hasa linasema kutakuwa na picha na watazamaji!Nitakutumia mengine mkuu..ili upate picha vzri.
Mzee vitabu mnavyoviamini si ndio vinadai hivyo?Wanaenda Mbinguni?
Mbna mimi huwa naona wanafukiwa aridhini..au ni mimi peked yangu huwa naona hivyo?
Hebu fikiria WASIOJULIKANA tunaenda kuwafahamu live
Hii dunia tungekuwa tunaishi kama wanyama ndio ingeifurahia,unafanya lolote tu unalojisikia kufanya muda wowote.Hakuna siku ya mwisho, we kama huitumii dunia kisa eti utaingia sijui peponi unapoteza muda wako. Waliotuletea dini ndo wanaogoza kwa zambi za kuuana na kutuletea virusi vya magonjwa, ndo wanaoongoza kwa roho mbaya jiulize mbona hawafikirii hayo ya peponi/motoni?
Picha ipi mkuu unayomaanisha...kwamba itakua kama sinema fulani?sawa...hasa linasema kutakuwa na picha na watazamaji!