Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Ww umeenda ukawa kama hao ulowatajaMali bila daftari.....
marehemu mengi mwenyew alienda chuo wakina dewji wenyew ndio kabisa sasa wewe komaa hivy hivy
Ww umeenda ukawa kama hao ulowatajaMali bila daftari.....
marehemu mengi mwenyew alienda chuo wakina dewji wenyew ndio kabisa sasa wewe komaa hivy hivy
kama elimu ni gharama jaribu ujingaIgweeeeeeeeeeeeeee
Salamu wana JF wote
Kuna jambo linanitatiza sana kichwani nimeona niwashirikishe na nyie nipate maoni yenu kidogo
Mimi ni kijana mdogo tuu niko bado nahangaika na elimu ya sekondari nipo kidato cha sita.
Nimekuwa nikijitahidi sana kusoma sana (kupiga msuli haswa) kuanzia nipo O level hadi kipindi hichi lakini tatizo ni kwamba sioni kabisa fani ninayotamani kuifanya kupatikana shuleni.
Nikiangalia masomo ninayosoma ni ya sayansi lakini sijioni kabisa kama daktari naona kabisa kutibu mtu kwangu itakuwa kazi sana wala sina moyo wa kuifanya hiyo kazi kabisa
Nina malengo baada ya kumaliza kidato cha sita nifanye mambo mengine lakini sio kuendelea na chuo natamani baada ya kumaliza kidato cha sita 2020 nikajitose kibaharia zaidi mtaani sababu fursa naziona nyingi huku niishipo ( moshi )
Niko njema darasani.
..Tunaishi Mara moja tuu
..Time is too short to take little shots
..mambo ni mengi mda ni mchache
( die trying or get rich )
NB
Naomba maoni yenu wana JF
Maneno ya maana sana haya mkuu.Dogo nakushauri ukafanye kitu roho yako,inakipenda, achana na elimu za kukariri..
Waliotoka n Matajiri woote wamefanikiwa baada ya kujitambua na kutumikia kile wanachokipenda..
Woote wanaokushauri,ukasome wakat wew unajiona huna mood na kusoma wamekariri tu..kiukwel ni kuwa shulen tunaenda kufuata utaratbu,na kutokana na maneno,ya jamii kuwa shule ndo,kila kitu ila si kweli.
Siri ya Maisha ya Mafanikio ipo moyoni mwako kupitia kipaji chako , Nenda kakifanye hicho kwa ukamilifu,na nguvu zako zoote utafanikiwa na utakuja nambia
Mkuu hilo jina tu..Hoi..??
(Idiot Embicile)
mengi alienda chuo gani?
Sema ndo naingia form 6Hapana sileti kauli za mkosaji ila naogopa kutokuwa mkosaji
Amini nipo form six mkuu
VETA ni nzuri zaidi
Uswisi?unamuingiza chaka mwenzako boss.Chuo flan kipi uswisi alikosomea mambo ya accountancy nadhani
upo sahihi kwa 100% ila tu ni nini umepanga kwenda kufanya? na una wazazi? kama unao umewashirikisha vipi kuhusu hii ndoto yako na wamesemaje? ni vizuri lakn muhimu ujue pakuanzia na nn utafanya, mtaani fursa zipo na changamoto ni nyingi lakn kuzikabili inawezekana ila kuna changamoto za sera ya nchi pia so fanya utafiti kwanza nn unataka ufanye na uko mbele itakuaje.Igweeeeeeeeeeeeeee
Salamu wana JF wote
Kuna jambo linanitatiza sana kichwani nimeona niwashirikishe na nyie nipate maoni yenu kidogo
Mimi ni kijana mdogo tuu niko bado nahangaika na elimu ya sekondari nipo kidato cha sita.
Nimekuwa nikijitahidi sana kusoma sana (kupiga msuli haswa) kuanzia nipo O level hadi kipindi hichi lakini tatizo ni kwamba sioni kabisa fani ninayotamani kuifanya kupatikana shuleni.
Nikiangalia masomo ninayosoma ni ya sayansi lakini sijioni kabisa kama daktari naona kabisa kutibu mtu kwangu itakuwa kazi sana wala sina moyo wa kuifanya hiyo kazi kabisa
Nina malengo baada ya kumaliza kidato cha sita nifanye mambo mengine lakini sio kuendelea na chuo natamani baada ya kumaliza kidato cha sita 2020 nikajitose kibaharia zaidi mtaani sababu fursa naziona nyingi huku niishipo ( moshi )
Niko njema darasani.
..Tunaishi Mara moja tuu
..Time is too short to take little shots
..mambo ni mengi mda ni mchache
( die trying or get rich )
NB
Naomba maoni yenu wana JF
Uswisi?unamuingiza chaka mwenzako boss.
Uswisi?unamuingiza chaka mwenzako boss.

alisoma uk mzeeWanasema ndio watu wa mwanzo mwanzo lulamba CPA
Hahah hamna noma mkuu.alisoma uk mzee
Nilimix mafaili i knew kua alisoma nje ila sikuwa na uhakika ni nchi gani haswa
Kutokwenda chuo na uwezo unao ni fursa pia unayoiacha kisa Haiku guarantee mafanikio,Ni kweli mkuu
Lakini hapa najiongelea Mimi kama Mimi
Naomba maoni yako kwangu Mimi juu ya hayo malengo yangu mkuu
Mkuu kote huko naona ni 50 kwa 50 hamna sehemu inanipa guaranteeKutokwenda chuo na uwezo unao ni fursa pia unayoiacha kisa Haiku guarantee mafanikio,
SWALI: Je mtaani huko mtaani kuna Guarantee ya mafanikio ? ? Ukijitosa halafu miaka nenda rudi hujafanikiwa Itakuwaje ? ?
Nashukuru sana mkuuDogo usifuate ushauri wa wadau wala emotions zako sasa hivi..
Haya maisha hakuna mashindano wala hakuna sehemu tunawahi.
Wewe fanya ufaulu kwanza hio form 6 kwa point kali then nenda chuo kozi kali..
Komaa umalize then ukiwa na cheti chako mkononi utaamua ufanye nini.!
Kama ni kuendelea na mishe au kuendelea na professional yako uliyosomea..
Kwa sasa ukiwa unakula ugali wa shule huwezi jua kitaa kilivyo jipe muda ukiwa chuo usome kitaa kilivyo ...inawezekana hayo maamuzi sasa ni emotions tu za umri wako
Maisha nyota tu....sasa ww ukifkiri kuwahi kwenda mtaani ndo utawahi fanikiwa kuliko alieenda shule umepotea....Igweeeeeeeeeeeeeee
Salamu wana JF wote
Kuna jambo linanitatiza sana kichwani nimeona niwashirikishe na nyie nipate maoni yenu kidogo
Mimi ni kijana mdogo tuu niko bado nahangaika na elimu ya sekondari nipo kidato cha sita.
Nimekuwa nikijitahidi sana kusoma sana (kupiga msuli haswa) kuanzia nipo O level hadi kipindi hichi lakini tatizo ni kwamba sioni kabisa fani ninayotamani kuifanya kupatikana shuleni.
Nikiangalia masomo ninayosoma ni ya sayansi lakini sijioni kabisa kama daktari naona kabisa kutibu mtu kwangu itakuwa kazi sana wala sina moyo wa kuifanya hiyo kazi kabisa
Nina malengo baada ya kumaliza kidato cha sita nifanye mambo mengine lakini sio kuendelea na chuo natamani baada ya kumaliza kidato cha sita 2020 nikajitose kibaharia zaidi mtaani sababu fursa naziona nyingi huku niishipo ( moshi )
Niko njema darasani.
..Tunaishi Mara moja tuu
..Time is too short to take little shots
..mambo ni mengi mda ni mchache
( die trying or get rich )
NB
Naomba maoni yenu wana JF