Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,513
- 9,553
Igweeeeeeeeeeeeeee
Salamu wana JF wote
Kuna jambo linanitatiza sana kichwani nimeona niwashirikishe na nyie nipate maoni yenu kidogo
Mimi ni kijana mdogo tuu niko bado nahangaika na elimu ya sekondari nipo kidato cha sita.
Nimekuwa nikijitahidi sana kusoma sana (kupiga msuli haswa) kuanzia nipo O level hadi kipindi hichi lakini tatizo ni kwamba sioni kabisa fani ninayotamani kuifanya kupatikana shuleni.
Nikiangalia masomo ninayosoma ni ya sayansi lakini sijioni kabisa kama daktari naona kabisa kutibu mtu kwangu itakuwa kazi sana wala sina moyo wa kuifanya hiyo kazi kabisa
Nina malengo baada ya kumaliza kidato cha sita nifanye mambo mengine lakini sio kuendelea na chuo natamani baada ya kumaliza kidato cha sita 2020 nikajitose kibaharia zaidi mtaani sababu fursa naziona nyingi huku niishipo ( moshi )
Niko njema darasani.
..Tunaishi Mara moja tuu
..Time is too short to take little shots
..mambo ni mengi mda ni mchache
( die trying or get rich )
NB
Naomba maoni yenu wana JF
Salamu wana JF wote
Kuna jambo linanitatiza sana kichwani nimeona niwashirikishe na nyie nipate maoni yenu kidogo
Mimi ni kijana mdogo tuu niko bado nahangaika na elimu ya sekondari nipo kidato cha sita.
Nimekuwa nikijitahidi sana kusoma sana (kupiga msuli haswa) kuanzia nipo O level hadi kipindi hichi lakini tatizo ni kwamba sioni kabisa fani ninayotamani kuifanya kupatikana shuleni.
Nikiangalia masomo ninayosoma ni ya sayansi lakini sijioni kabisa kama daktari naona kabisa kutibu mtu kwangu itakuwa kazi sana wala sina moyo wa kuifanya hiyo kazi kabisa
Nina malengo baada ya kumaliza kidato cha sita nifanye mambo mengine lakini sio kuendelea na chuo natamani baada ya kumaliza kidato cha sita 2020 nikajitose kibaharia zaidi mtaani sababu fursa naziona nyingi huku niishipo ( moshi )
Niko njema darasani.
..Tunaishi Mara moja tuu
..Time is too short to take little shots
..mambo ni mengi mda ni mchache
( die trying or get rich )
NB
Naomba maoni yenu wana JF