Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,853
- 41,186
Vipi ushachukua kadi ya simba?.....Ushindi wake mkubwa ni Draw. Na endapo atapita Basi Nitakuwa mshabiki wa Simba kwa Mwaka mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app
WOIIII.... KILA LA HERI TP MAZEMBE MWEZI WA NNENimejaribu kupitia comment zako nyingi sana juu ya Simba umeishia kuaibika.. Sasa ni wakati wakunyamaza tu wanaume wakiwa kazini
Sent using Jamii Forums mobile app
HAHAHAHAKwa comment hii hukuridhika hadi ukaanzisha na uzi kabisa
POLE YAKONaona aibu
Watani walisahau Simba sio Yanga
Mpaka mechi yao ikiisha ndo wataibuka Kama mazombieWatani walisahau Simba sio Yanga
Duh! Hii kali