Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Kamtafute Sitta aliyewadhihaki maaskofu umuulize nini maana ya dunia!!!Hata Rwanda viongozi wa dini ndo waliosababisha damu kumwagika,, na wengi wao wanahasira kwa benki zao waliokuwa wanazitumia kujinyakulia pesa kiholela kufungwa
Hii nchi ina mambo sana anayeua watu anawageuzia kibao ambao hawabebi hata topazMbowe na Lema wamesababisha vifo vya watu wengi sana lakini bado wanadunda tu
yaan nilikuwa nakuheshimu sana comrade lakini kumbe bure kabisa wewe.nachukua nafasi hii kukujumuisha na vijana makarai wasiojua kujenga hoja humu jf bali kuleta vioja.Nasikia anatoa damu sana mkunduni na haongei vizuri yupo kwao Rufiji pwani
dhuluma haijengi,mwisho mwa dhuluma ni chukiKiukweli, sioni mwisho mwema wa Mtulia kwani Abdul Nondo kusimamishwa chuo ni kwasababu ya Mtulia.
Mh.Mbowe na wenzake kuwekwa mahabusu ni kwasababu ya Mtulia.
Kifo cha Akwilina ni kwasababu ya Mtulia.
All the best CHADEMA no lane has no turning hata Firauni alikuwa hivyo lakini sisi binadamu sote tunapita hapa chini ya jua.
Kwani wako wapi akina Amina chifupa na Nyerere watu walio wai kuwa na madaraka makubwa katika hii nchi! Sembuse mimi na wewe.
Tunachukiana kisa madaraka!
Kwani maandamano ni ya chadema?MichademaChaggas acheni ujinga na ulofa
Hakuna Maandamano wala ndugu yake Maandamano
kama hakuna maandamano mbona mnakuwa na hofu hadi mnawafungia viongozi wa upinzani,watu wakipost kukemea nakuzungumzia maandamano mnawatafutia kesi,nyie ni wapuuzi wa mwisho na waoga mno hamujiamini kabisa mna jeshi,mna silaha mna kila kitu ila hofu imewatanda,kweli nyie ni zaidi ya ndezzi,kelele nyingi kumbe mioyo inawadunda,MichademaChaggas acheni ujinga na ulofa
Hakuna Maandamano wala ndugu yake Maandamano
Mbona hujawataja hawaHata kikwete alisakamwa sana lakini alimaliza.
Tunaowajua chadema huwa hawatupi shida,kwa kuwa wanapenda kuendesha siasa kwa matukio
Ukiona kiongozi mkuu kama mbowe anahamasha wafuasi nchi iwe kama Libya,huyo amefikia mwisho wa kuongoza,na anapostahili ni jela tu
Nasikia anatoa damu sana mkunduni na haongei vizuri yupo kwao Rufiji pwani
yoote hayo uliyoyasema hapo ni kwasababu ya CHADEMA wala siyo Mtulia. Akwilina asingekufa kama CHADEMA wasingeandamana saa 12 jioni tena bila kibali. Mhe. Mbowe na wenzie wapo mahabusu kutokana na kuvunja sheria na siyo vinginevyo. Abdul Nondo kasimamishwa chuo kutokana na uwehu wake mwenyewe wa kufuata mkumbo kwa kukubali kutumika, ikiwa ni mwendelezo wa CHADEMA wa kutengenezea matukio hasa ya kujiteka ili kupata huruma ya wananchi wajinga kama wewe. Kwahiyo usituletee ujinga wako hapa kwa watu werevu tunaojitambua.Kiukweli, sioni mwisho mwema wa Mtulia kwani Abdul Nondo kusimamishwa chuo ni kwasababu ya Mtulia.
Mh.Mbowe na wenzake kuwekwa mahabusu ni kwasababu ya Mtulia.
Kifo cha Akwilina ni kwasababu ya Mtulia.
All the best CHADEMA no lane has no turning hata Firauni alikuwa hivyo lakini sisi binadamu sote tunapita hapa chini ya jua.
Kwani wako wapi akina Amina chifupa na Nyerere watu walio wai kuwa na madaraka makubwa katika hii nchi! Sembuse mimi na wewe.
Tunachukiana kisa madaraka!
inasikitisha na inaudhi kuona mtanzania mwenzangu ukisapoti upumbavu kama huu.tafakari chukua hatua!!Kama ni kweli safi sana. Afe tu.
Utakuwa unawashwa!Mbowe na Lema wamesababisha vifo vya watu wengi sana lakini bado wanadunda tu
Ni kweli? Kama wameua why don't you prosecute them?Mbowe na Lema wamesababisha vifo vya watu wengi sana lakini bado wanadunda tu
Hata kikwete alisakamwa sana lakini alimaliza.
Tunaowajua chadema huwa hawatupi shida,kwa kuwa wanapenda kuendesha siasa kwa matukio
Ukiona kiongozi mkuu kama mbowe anahamasha wafuasi nchi iwe kama Libya,huyo amefikia mwisho wa kuongoza,na anapostahili ni jela tu
Mshirikisheni na Mng'oa kucha ktk hiliNgoja ni subscribe kabisa huu uzi.
Hata mimi naamini utabiri wako ipo siku utatimia.
kuna kituu nataka kukuambia lkn namuheshimu Munguuu AMENMbowe na Lema wamesababisha vifo vya watu wengi sana lakini bado wanadunda tu
OhoooooKiukweli, sioni mwisho mwema wa Mtulia kwani Abdul Nondo kusimamishwa chuo ni kwasababu ya Mtulia.
Mh.Mbowe na wenzake kuwekwa mahabusu ni kwasababu ya Mtulia.
Kifo cha Akwilina ni kwasababu ya Mtulia.
All the best CHADEMA no lane has no turning hata Firauni alikuwa hivyo lakini sisi binadamu sote tunapita hapa chini ya jua.
Kwani wako wapi akina Amina chifupa na Nyerere watu walio wai kuwa na madaraka makubwa katika hii nchi! Sembuse mimi na wewe.
Tunachukiana kisa madaraka!