Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,714
- Thread starter
-
- #21
Madhara inayo sema ninachoipendea hii kitu haiathiri uchumi lakin pia haina usumbufu wa kupoteza muda kumtafuta Mwajuma ndala ndefu ili msex...pia inakuepusha na ukimwi na mimba zisizotarajiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna babu mmoja aliniambia, usiamini sana kitu ambacho watanzania wanakipigia debe.
Madhara ni mental addiction basi hutaweza kusikia utamu wa papuchi milele mpaka ukapige kimoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni watu wasiokuwa na akili ndo wanaisingizia nyeto mambo ya kipuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu mambo
Nilianza kupiga nyeto 2009 nipo form one, mbaka nafika chuo bado najilipua, nimemaliza chuo bado najilipua
Ila kiukweli mbaka sasa hivi sijaona negative impacts yoyote, na kama show napiga show za kibabe, yani nipo fit sana kwenye swala la kugegeda, japokuwa na nyetuka.
Tena naona nyeto ndio inafanya mashine iwe strong balaaa, na pia inakuwa kimtindo.
Aisee hayo madhara mbona mimi sipati, sijui kuwahai kufika kileleni, mara sijui nini, mimi sipati hivyo vitu.
Madhara yapo wapi wanachama wenzangu??
Sent from my iPhone using JamiiForums
wanakataza coz vijana mtakuwa hamuowiHAKUNA MADHARA. PERIOD. In fact ni maandalizi mazuri sana kwa mechi. Hizo effects zinazoimbwa ni myths tu. Ukweli ni kwamba masturbation inasaidia hata longevity. ....
Nakuona kwenye anga zako. Vp wewe umeyaona madhara?kweli tunatofautiana sana.
nakuona balozi wa mambo ya nje unapita kuangalia maendeleo ya vijana wako ππππ lakini pongezi nyingi ziende kwa balozi mng'ato hakika juhudi zake zinaonekana ππππ
Madhara yapo. Mfano mtu ukishapiga badala ya kuandika neno MPAKA unaandika MBAKAWakuu mambo
Nilianza kupiga nyeto 2009 nipo form one, mbaka nafika chuo bado najilipua, nimemaliza chuo bado najilipua
Ila kiukweli mbaka sasa hivi sijaona negative impacts yoyote, na kama show napiga show za kibabe, yani nipo fit sana kwenye swala la kugegeda, japokuwa na nyetuka.
Tena naona nyeto ndio inafanya mashine iwe strong balaaa, na pia inakuwa kimtindo.
Aisee hayo madhara mbona mimi sipati, sijui kuwahai kufika kileleni, mara sijui nini, mimi sipati hivyo vitu.
Madhara yapo wapi wanachama wenzangu??
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ngoja nitulie mzee nitakupa mchongo mzima.nakuona balozi wa mambo ya nje unapita kuangalia maendeleo ya vijana wakolakini pongezi nyingi ziende kwa balozi mng'ato hakika juhudi zake zinaonekana
Vp leo Valentine mzungu ajatokea bado? Nasubiria picha zako zile kule ujue.
Kwa ku support CHAMATA naenda kupiga moja fupi kali. Kidumu chama milele
We umeanza form one!!!!!!!!!!!!
wengine tumeanza standard six