Sioni Faida ya kuwa na mke. Naona nimejiongezea gharama tu zisizo na msingi

Vipi Mkuu House girl umeshampandisha cheo kuwa mother house!?

 
Ndio hata kwenye kazi iliyoleta ndoa "unyumba"kupeana kwa ratiba🙄 nikwambie ukweli wanaume tunapenda utelezi hayo mambo mengine yatavumilika lakini sio kunyima utelezi bila sababu za msingi
 
Kwahiyo kwa kifupi kabisa ni kwamba mimi ulinidanganya au nisubirie muda ukifika utaniambia?

Kwanini lakini?

Nimwachie Mungu?

Wewe tena...

Mungu atalemewa na mizigo yako ya chupa za K Vant😅.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…