Nimecheka kweliiii kweliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sisiemu kama wehuuuuu unajuaaaaaaaaaaaaaaa yaani wameshafanya kama sehemu ya familia lile jimbo nimeona na somebody sarakikya nae nimecheka sana ila walivyowapuuzi wanaweza kumpa si uanajua mzee hata kupata unaibu alimfadhili sana mzee kwenye kampeni yetu so sidhani anaweza kumwacha na jamaa siku zote za msiba nilijiulkiza mbona kavaa nguo za ccm kumbe yuko kikazzi zaidi anyway all de best