Siogei tena vile visabuni vya gesti

Siogei tena vile visabuni vya gesti

Morning all,
Niende kwenye mada moja moja.
Juzi nilikuwa na miadi na shori flani tukutane gest mitaa ya kati.
Mi nilitangulia kufika pale nikimsubiri huku nikipata konyagi nachanganya na valuu.
Mwisho nilipowasiliana nae ilikuwa ndo anakaribia kufika.
Nikaamua kulipia room na kuzama humo nikimsubiri shori.
Ebwanaee manzi si akayeyusha na nishakula hasara ya chumba..
Nikaona isiwe shida acha hata nioge ili nirudishe hata ela za chenji ya gest.
Nikazama bafuni nikakuta kile kisabuni cheupe ebwana kwa hasira nilikiogea hadi kikaisha na nyetoo juu.
Nimemaliza mida ya saa 2 usiku huyo nikajimuvuzisha hom na hasira zangu..
yaani nimefika sijaingia hata ndani nikaulizwa "ENHEE ULIKUWA GEST GANI LEO??!!"
nikabaki nimetumbua macho nikawekwa kofi moja matata sana akili ikarudi nikamjibu nilikuwa kaoshi.
Yaani hadi nimeondoka hom ugomvi haujaisha.
Kinachoniuma nimezinguliwa na shori na hom nimeharibu yaani nipo sieleweki.
Kuanzia leo nakuwa naenda na sabuni yangu gesti
Zile unaoshea Pu*m*b*u tu unaogea maji baridi bila kujipaka sabuni.
 
usinikose hiyo harusi na mchango mkubwa sana nitatoa nakushiriki maana huwaga nafurahi sana kuona michango yako ya ajabu hapajf

Nakusave kwenye file ukifika muda nitakupa taarifa mkuu
 
Mkeo ni expert kwenye maswala ya gest
 
Morning all,
Niende kwenye mada moja moja.
Juzi nilikuwa na miadi na shori flani tukutane gest mitaa ya kati.
Mi nilitangulia kufika pale nikimsubiri huku nikipata konyagi nachanganya na valuu.
Mwisho nilipowasiliana nae ilikuwa ndo anakaribia kufika.
Nikaamua kulipia room na kuzama humo nikimsubiri shori.
Ebwanaee manzi si akayeyusha na nishakula hasara ya chumba..
Nikaona isiwe shida acha hata nioge ili nirudishe hata ela za chenji ya gest.
Nikazama bafuni nikakuta kile kisabuni cheupe ebwana kwa hasira nilikiogea hadi kikaisha na nyetoo juu.
Nimemaliza mida ya saa 2 usiku huyo nikajimuvuzisha hom na hasira zangu..
yaani nimefika sijaingia hata ndani nikaulizwa "ENHEE ULIKUWA GEST GANI LEO??!!"
nikabaki nimetumbua macho nikawekwa kofi moja matata sana akili ikarudi nikamjibu nilikuwa kaoshi.
Yaani hadi nimeondoka hom ugomvi haujaisha.
Kinachoniuma nimezinguliwa na shori na hom nimeharibu yaani nipo sieleweki.
Kuanzia leo nakuwa naenda na sabuni yangu gesti
Hii stori ya kutunga kama siyo ujue na mkeo huwa anaogea hizo sabuni huko gesti yeye alijuaje kuwa ni harufu ya sabuni ya gest?
 
Sio suluhisho hilo mkuu, ungesema kuanzia Leo unaacha na mambo ya kutoka nje ya ndoa, Leo umevaa sabuni kesho utavaa magonjwa
 
Visabuni visumbufu sana hivyo, havishikiki vzr mkononi...vinateleza
 
Back
Top Bottom