Sio uzushi ni kweli imetokea

:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big😀aaaaah hiyo kali! Ilibidi atake kujua kama ni kusuka tu au ana uvimbe wa kichwa hivyo anatakiwa hela ya matibabu!!! Hiyo Kali sana. Na asipotoa wenzie watamtolea hapo inageuka kazi nyingine tena:smile-big::smile-big::smile-big:
 
khaaaa....aende zake huko! laki tatu?

Bei ya techno mbili na memory card zake na charger zake na headphone zake na manual zake na warranty ya mwaka mzima na zawadi ya protector na mfuko wa kubebea
 
Aiseeeeee nawaza tu ningekuwa Junior. Cux sijui kama ningeweza hizi mambo laki tatu ukasuke????????? Mxxiuuuu nakunyoa nywele fasta
 
Last edited by a moderator:
Halafu ukimuambia huna atanuna..? Wanawake wanatukimbiza hawa lol..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…