Sio mbaya tukajifunza wadada...

hapo unajifunza nini? uyo mdada ana wazazi kweli, mbona anaonekana ana pepo mahaba, atakayemwoa huyo atakuwa anapiga pasu kwa pasu na majini. uchafu wa kuzimu huo, shauri lenu. nyie fikirini ni kitchen party kumbe adui kaweka ndoana hapo.
 
mnh afu nilitaka niiiweke kule kny jukwaa la wakubwa,am sorry kama kuna watakaokuwa offended km mwana wa mungu...

kwa wale wenzangu na mie nadhani hili ni darasa tosha!!! :target:...mengine nilikuwa nayasikia tu kuyaona live nimejifunza mawili matatu and i thought i should share na wale waliokuwa kny position km yangu....:behindsofa:
 
Duh! ni balaaaaa!! baraaaa!!! itoe humu.....peleka kule kwa maria rosa bana!1
 
mod naomba nisaidie kuihamisha isije ikawa tabu humu.....
 
Back
Top Bottom