hapo unajifunza nini? uyo mdada ana wazazi kweli, mbona anaonekana ana pepo mahaba, atakayemwoa huyo atakuwa anapiga pasu kwa pasu na majini. uchafu wa kuzimu huo, shauri lenu. nyie fikirini ni kitchen party kumbe adui kaweka ndoana hapo.
mnh afu nilitaka niiiweke kule kny jukwaa la wakubwa,am sorry kama kuna watakaokuwa offended km mwana wa mungu...
kwa wale wenzangu na mie nadhani hili ni darasa tosha!!! :target:...mengine nilikuwa nayasikia tu kuyaona live nimejifunza mawili matatu and i thought i should share na wale waliokuwa kny position km yangu....:behindsofa:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.