pierre tall JF-Expert Member Nov 5, 2013 4,024 3,212 Nov 27, 2014 #3 Hahahahhahaha....kwa hiyo anataka kusema walikuwa wanasafiri mkoa kwa mkoa
M mangatara JF-Expert Member Jul 6, 2012 14,517 14,135 Nov 27, 2014 #4 Popote njaa haijui ulipo. Mtoto amelia mno na safari ni ndefu, dalili za mvua hizo hapo, mtasubiri mtoto anyonye au? Naamini Mr. ndiye awe mwangalifu asiwadondoshe kwa mabreki ya ghafula. Mtoto anatulizwa kidogo tu wafike home. Nakuaminia mamaaa
Popote njaa haijui ulipo. Mtoto amelia mno na safari ni ndefu, dalili za mvua hizo hapo, mtasubiri mtoto anyonye au? Naamini Mr. ndiye awe mwangalifu asiwadondoshe kwa mabreki ya ghafula. Mtoto anatulizwa kidogo tu wafike home. Nakuaminia mamaaa
HARUFU Platinum Member Jan 21, 2014 31,552 48,148 Nov 27, 2014 #5 Baba mtoto amekosea sana alitakiwa asimamishe chombo kwanza kisha mama amnyonyeshe mtoto baada ya hapo waendelee na safari. Mama na mtoto hawana kinga yoyote baba amejizatiti yeye tu
Baba mtoto amekosea sana alitakiwa asimamishe chombo kwanza kisha mama amnyonyeshe mtoto baada ya hapo waendelee na safari. Mama na mtoto hawana kinga yoyote baba amejizatiti yeye tu