Sio mbaya kunyonyesha hadharani, lakini sio kama hivi!

Salamander

JF-Expert Member
Dec 7, 2012
28,538
15,737

943f1913accc6ab6d61bea94ac3f2d16
 
Popote njaa haijui ulipo. Mtoto amelia mno na safari ni ndefu, dalili za mvua hizo hapo, mtasubiri mtoto anyonye au? Naamini Mr. ndiye awe mwangalifu asiwadondoshe kwa mabreki ya ghafula. Mtoto anatulizwa kidogo tu wafike home. Nakuaminia mamaaa
 
Baba mtoto amekosea sana alitakiwa asimamishe chombo kwanza kisha mama amnyonyeshe mtoto baada ya hapo waendelee na safari.

Mama na mtoto hawana kinga yoyote baba amejizatiti yeye tu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom