Sio kwamba walikua hawajui alipo

Sio kwamba walikua hawajui alipo

Ndugu......

kama unadhani walikua hawajui alipo unakosea.....


Amegusa mzinga wa nyuki kwa kuuchokonoa baada ya kuandaa script ya Afisa Manyota ma3.


Manyota hamtomuona tena.
Ndio yule nabii feki anawasimulia waumini wake kwenye hema anasema Tesha sio askari wa Jeshi, hahaha ni AI kwa hio alitengeneza AI AI haiwezi kuonekana tena, oya ngoja nilale pumbavu
 
Ndugu......

kama unadhani walikua hawajui alipo unakosea.....

Amegusa mzinga wa nyuki kwa kuuchokonoa baada ya kuandaa script ya Afisa Manyota ma3.

Manyota hamtomuona tena.
Ni katika kukumbushana tuu Post in thread 'Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe' Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe
P
 
Ni katika kukumbushana tuu Post in thread 'Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe' Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe
P
Tamaduni za Ile nchi ni mwiko kusemwzana wakati wa kula. Vinginevyo utatolewa nje. Salamu ziwafikie ngosha wawili ambao tayari wameondolewa mezani kawe na kule kwa mpini
 
Hii ni episode ingine tu ya MCHEZO!
... sasa wahuni wameamua kuzusha kuwa Polepole katekwa ili kuchochea moto, ... AISEE MTAPULIZA MOTO MPAKA MACHO YAWAWIVE, KUNI MBICHI!
POLEPOLE SHOULD FACE HIS KARMA!
Ile damu inayoonyeshwa ni damu fake, maana Polepole kajificha mahala fulani akisubiri huruma za WAPENDWA!
THIS COUNTRY NEEDS AN ENEMA!
 
Ndugu......

kama unadhani walikua hawajui alipo unakosea.....


Amegusa mzinga wa nyuki kwa kuuchokonoa baada ya kuandaa script ya Afisa Manyota ma3.


Manyota hamtomuona tena.
Mbona mzinga ndipo unajengeka; au unazungumzia viota vya ndege?

Hizi ngonjera nyingi mnazo tunga kishamba hivi nani ataziamini?

Samia mtu asiye penda kusemwa bila kusifiwa avumilie makombora ya Polepole wakati wote ule huku akijulikana alipo?
Nenda kawatafute wajinga kwingine, siyo hapa JF.
 
Back
Top Bottom